Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Huwa naumia Sana nikiona watu wanasema hakuna mungu

Historia ya Maisha yangu ni ya huzuni Sana

wazazi walifariki na kubaki yatima Mimi na ndugu zangu wawili
Lakini hofu ya mungu ndio imetulinda mpaka Mimi na Kaka kuwa na KAZI nzuri serikalini dada yetu akusoma bali ndie alietusaidia kutulea. Alizalishwa na wanaume wawili tofauti lakini Neema ya mungu amempa mume sasaihivi mwaka wa 8 huu.

Fungu la kumi ni lazima kutoa lakini hutakiwi kulazimishwa Vivo hivyo unapaswa kukumbushwa.

Mpendwa Mtoa mada funga angalau mara mbili Kwa kila wiki kabla hujafungua jioni ingià chumbani jifungie Anza kuomba ongea na mungu Kwa Saa moja utaona vtu vitavyofanyika Bila kutegemea
 
Mkuu fungu la kumi kama unataka kutoa Bora upeleke kwa watoto yatima na watu wasiojiwexa mungu atakubariki Sana makanisa mengi wanachukuwa wanaenda kufanya Mambo yao na wengine wanaenda kunywea balimi
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
mama ako ni muhimu zaidi kuliko chochote hapa duniani, mshughulikie mama ako ipasavyo, ukiwa nacho hilo fungu lako la kumi, ukimuona mlemavu njiani msaidie, maskini mhitaji wa kweli msaidie, haswa swadaqa huanza kwa familia, ndugu wa karibu, majirani waisojiweza, na ukitoa haina haja mtu yoyote yule ajue kama umetoa, wewe mwenyewe unatakiwa usaidiwe kifedha na kimawazo kutokana na mtihani wa mama ako uliokuwa nao, sio mtu yoyote yule kukupa stress. tulia hakikisha una spend time na mama ako na familia yako kwa furaha na kuliwazanaaaaa. na huku ukimuomba MUNGU ampone mama apate uzima wake.
ushauri, kama kunahitajika kupandikiza figo jengine itakuwa bora zaidi, na kama kunahitajika hela nyingi, usione aibu muanze huyo huyo mchungaji kumwambia unahitaji kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kupandikiza figo jengine, kwa hivyo akufanyie mchango kanisani ila hela iingie moja kwa moja kwenye account yako, uone sasa jee anafanya kwa ajili ya MUNGU au kwa ajili ya manufaa yake mwenyewe kujinufaisha. MUUMIN wakweli hapo ndio utakapomjua.
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Sasa hv kila Kona kila mtu anakula kwa urefu wa kamba,
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Ukisoma maandiko utagundua hakuna sadaka unayotoa kwa lazima. Fungua moyo wako kwa Mungu wako, amekubariki,mtolee kwa imani na kwa upendo.
 
Juzi kuna demu alinipigia simu anaomba nimshauri anadai mchungaji wake anataka 300k ili amuombee. Nimegundua kuwa baadhi ya wachungaji wakigundua mbulumba ipo ndio wanakugeuza source of income yao.
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Mimi si mkristo. Ila hii inaonekana kabisa umetunga usikie maoni ya watu na kuwaoesha una badili vyombo vya usafiri. UTUNZI WAKO NI WA KITOTO WA MWANAFUNZI WA DARASA LA 4 KWENYE SOMO LA UTUNGAJI. HAMNA KITU
 
Kanisa kwa sasa ni wasabato.yaani wako vizuri sana.Mimi siabudu huko lakin ahhh utawapenda sana.Hata uimbaji jamaa wako vizuri hatari..Tunapo kosana nao tu ni juu ya sabato
 
Mchungaji kashapenda mali zako ..anaumia ukibadilisha gari alafu anakudai zaka.
 
Wee[emoji23][emoji23]
Tukome[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sema kanisani ukisikiliza kila kitu unakuwa kama nyumbu

Mimi huwa sitaki kujiattach sana kiasi hicho cha kuja kuburuzwa Kwa kila kitu.
Vitu ambavyo si muhimu navicancel tu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mi si nawajua [emoji2]

Hapo bado hujaokoka ..ukiokaka huambiwi kitu kuhusu kanisa
 
Amembariki kwani yeye Mungu?

Mbona mnakuwa na majibu mepesi kwa mambo ya msingi kama imani?na kwanini mchungaji adai sadaka zaka etc kwa waamini personal hakuna kamati zinazosimamia hayo?kama zipo ni nani anayezinyang’anya mamlaka ya kufanya kazi yake?

Na kwa lengo gani?obviously ni huyo huyo mchungaji.
Siku hizi kuna kadi za matoleo kanisani zenye majina na namba za waumini wa hayo makanisa, viongozi hukagua kila wiki kujua umetoa kiasi gani kwa kila sadaka.

Huu utaratibu haupo kibiblia, sadaka ya mtu ni siri yake na Mungu wake.
 
Kuna mjane alikuwa na shida akauza nyumbani yake,na Mchungaji wake ndo alimtafutia mteja kwa m 150.Mteja akatanguliza m100.Mchungaji akakata m15 mjane akapewa m85, Mchungaji akamwambia mjane nimekata fungu la kumi kabisa. Then Mchungaji akampiga mzinga mjane amkopeshe milioni 3 atamrejeshea, mjane aliyekuwa Mhanga wa imani akamkopesha Mchungaji, kesho Mchungaji akaingia show room akavuta toyota crown mpya kwa m17. Akamsogeza mjane kwenye ulezi wa kanisa KILA michango ya kanisa mama kawa brainwashed eti anajenga hazina yake mbinguni akawa wa ye wa kutoa tu.
Hapa Mchungaji katumia Mungu kumfanyia utapeli mjane.
Watu wafunze kutoa then wao ndo watoe kwa imani
 
Siku hizi kuna kadi za matoleo kanisani zenye majina na namba za waumini wa hayo makanisa, viongozi hukagua kila wiki kujua umetoa kiasi gani kwa kila sadaka.

Huu utaratibu haupo kibiblia, sadaka ya mtu ni siri yake na Mungu wake.
Huo utaratibu haupo mahali ninaposali.
Na hata ukiwepo,bado hauwezi kuibadilisha aina yangu ya utoaji.
Natoa kile Mungu anasema na mimi,,sitoi kufurahisha mchungaji.
 
Back
Top Bottom