Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Tukiwa na hela dini hazitatusimanga...

Hata ukisema huna dini, utashangiliwa...
Hakika,nimejiwazia Jana nikasema ningekuwa na Hela nisingemsumbua mtu na ningeaminika pia.As usual nikatoa mchoz wa hasira nikatulia😉
 
Hakika,nimejiwazia Jana nikasema ningekuwa na Hela nisingemsumbua mtu na ningeaminika pia.As usual nikatoa mchoz wa hasira nikatulia😉
NImecheka sana... Na sauti yaki ilivyo nzuri sasa, hata ukilia ni kama unadeka vile...
 
Hamia Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume uje ufaidi mema yote ya huu ulimwengu! Huku kwetu hakuna mambo ya kufuatana! Paroko yuko zake busy huko Parokiani!

Uende Kanisani, usiende! Hakuna anayejali! Umetoa zaka, hujatoa! Hakuna atakaye kusumbua! Watu wanamwagilia moyo kwa kipimo! Maana hata Mapadre wenyewe wanamwagilia sana tu!

Hakika ukiwa muumini wa RC migogoro utaisikia kwa majirani tu!


Kristu....!

Tumsifu Yesu Kristu.....!!


Kanisa la Kisinodiii....!
Tumaini letuu

Milele Amina

Ushirika ushiriki na umisionari
 
Kwani kumunua gari Tatizo mkuu gari niliipia toka mwezi sita ,mwez kuna mambo ya kifamilia yamenibana hivyo sitoi fungu la kumi sitaki kutoa kinafiki

Fungu la kumi ni ya kwanza kabisa, kabla hujapanga bajeti yako

Unaweza kuona ni shida ya mchungaji anataka hela lakini zaka ni ya Mungu na agizo

Lakini utoe kwa hiyari na si kwa kulazimishwa

Na usipotoa ni kosa kubwa.

Unaweza endelea uguza mpaka senti yako ya mwisho

Zaka inaweza kukulinda na ugonjwa wa mama na matatizo mengine.

Lakini pia kama unajua vizuri kuhusu sadaka, unatoa tu hata kama huendi kanisani

Kwani sh ngapi jamani inakuuma? Unatoaga sadaka kubwa sana?


Si unatuma tu hata elfu 2, buku, tano, kumi.
 
Fungu la kumi ni ya kwanza kabisa, kabla hujapanga bajeti yako

Unaweza kuona ni shida ya mchungaji anataka hela lakini zaka ni ya Mungu na agizo

Lakini utoe kwa hiyari na si kwa kulazimishwa

Na usipotoa ni kosa kubwa.

Unaweza endelea uguza mpaka senti yako ya mwisho

Zaka inaweza kukulinda na ugonjwa wa mama na matatizo mengine.

Lakini pia kama unajua vizuri kuhusu sadaka, unatoa tu hata kama huendi kanisani

Kwani sh ngapi jamani inakuuma? Unatoaga sadaka kubwa sana?


Si unatuma tu hata elfu 2, buku, tano, kumi.
Sasa ndo amfatiliee hivyo??
 
Pole sana mkuu..mchungaji kabisa wa TAG? Basi amekosa hekima ya kawaida tu.
Nachojua mimi TAG Zaka hawali wachungaji, inaenda moja kwa moja jimbo lakini ata ivyo baba wa kiroho ni mtu anatakiwa awe karibu kukusaidia,kukutia moyo katika kipindi iki unauguza.
Pole, wachungaji nao ni binadamu tu wasikufanye ukaikosa mbingu..
Umepata mashauri mengi.,Mungu akupe hekima ya kumaliza changamoto hii
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Tatizo lenu nyinyi wapuuzi biblia amsomi kwa kutumia akili ...fungu la 10 ni udanganyifu mkubwa sana mnadanganywa kwa sababu amjui fungu la 10 ni nini tena lilikuwa linatolewa wapi ..kuthibitisha upumbavu wenu ni kwamba amjui maana ya HEKALU
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida na hapo ndio nilikuwa najiandaa kulipia matibu ya mama kila mwezi natakiwa kulipia Milion 3 .8 kwa ajili ya dialsis ,mwez huu mambo yameyumba kabisa .

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Dawa ni kuanzisha kanisa lako utakuwa unajilipa fungu la kumi mwenyewe
 
Maji ukiyavulia nguo haina budi kuyaoga
Km sijakosea ww apo mwanzo ulkua RC ila ukaamua kuhama na kwenda uko nazan haina haja sana ya kulalama toa na timiza masharti ya kanisa iyo ni sheria ata biblia inakutaka ivyo
 
Back
Top Bottom