aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
1. Josephat Mwingira
Utajiri wake unakadiriwa kufikia Tsh bilioni 20
Anamiliki
Mashamba zaidi ya hekari 20,000 huko Katavi
Kiwanda cha maji Kibaha
Mashule
Na bank
Nyumba yake inakadiriwa kuwa na thamani ya tsh 2.5bilion
2. Geo Darvie
Anamiliki magari ya kifahari
Nyumba ya thamani ya 1.8 bilion
Ana mashamba makubwa na vitalu vya uwindaji Arusha.
Utajiri wake unakadiriwa kufika Ths bilioni 15
3. Askofu Kakobe
Anapesa nyingi alizoziweka kwenye akaunti zake nje ya nchi
Ana jumba la kifahari zaidi ya 4 bilioni
Ana magari ya kisasa na ardhi ya kutosha tu huko kwao
Anakadiriwa kuwa na utajiriwa 10 bilioni
4. Dr Vernon Fernandes
Huyu inakadiliwa kuwa na utajiri wa Tsh bilioni 8 pamoja na kumiliki magari na kampuni yake ya Decoda
5. Athony Lusekelo
Utajiri wa bilioni 6
6. Josephat Gwajima
Utajiri wa bilioni 5.7
7. Boniface Mwamposya
Utajiriwa bilioni 5
8. Sylvester Gamanywa
Utajiri wa bilion 5
9. Mtume Mtalemwa
Bilion 3
10. Mchungaji Mwakasege
Utajiri wa bilioni 2.7
Chanzo: Gazeti la sanifu
Utajiri wake unakadiriwa kufikia Tsh bilioni 20
Anamiliki
Mashamba zaidi ya hekari 20,000 huko Katavi
Kiwanda cha maji Kibaha
Mashule
Na bank
Nyumba yake inakadiriwa kuwa na thamani ya tsh 2.5bilion
2. Geo Darvie
Anamiliki magari ya kifahari
Nyumba ya thamani ya 1.8 bilion
Ana mashamba makubwa na vitalu vya uwindaji Arusha.
Utajiri wake unakadiriwa kufika Ths bilioni 15
3. Askofu Kakobe
Anapesa nyingi alizoziweka kwenye akaunti zake nje ya nchi
Ana jumba la kifahari zaidi ya 4 bilioni
Ana magari ya kisasa na ardhi ya kutosha tu huko kwao
Anakadiriwa kuwa na utajiriwa 10 bilioni
4. Dr Vernon Fernandes
Huyu inakadiliwa kuwa na utajiri wa Tsh bilioni 8 pamoja na kumiliki magari na kampuni yake ya Decoda
5. Athony Lusekelo
Utajiri wa bilioni 6
6. Josephat Gwajima
Utajiri wa bilioni 5.7
7. Boniface Mwamposya
Utajiriwa bilioni 5
8. Sylvester Gamanywa
Utajiri wa bilion 5
9. Mtume Mtalemwa
Bilion 3
10. Mchungaji Mwakasege
Utajiri wa bilioni 2.7
Chanzo: Gazeti la sanifu