Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

UJUWE kua Mungu hana shida wala hana njaa za kuomba pexa yako ila kama unamuaamini uyo mungu basi inatakiwa utoe sadaka kwa ule anaekufikisha hilo neno la mungu. Hapo ndo utapata ridha ya mungu. Sadaka sio lazma utoe pexa kama ww huna pexa ya kutoa. Toa chochote cha ziada ulichonacho kilishohalalishwa ... Unadhani Wachungaji na ma Sheikh watakula wapi? Kama sio Sadaka yako ww uliekuja kupata neno la BWANA....
 
w
Ila sadaka ni lazima jamani hata Bible inasema usiende au asionekane nyumbani mwa BWANA mikono mitupu, kuombea watu nao kazi wapendwa, Mchungaji anasimama saa 1-9 anaongea tu kweli? Sasa Mchungaji afungue genge sasa Mimi ulweso nikitaka kumuona niende pale gengeni?
angesema michango ya hiyari sio sadaka...japo wanamdis tb joshua ila kwa upande wa sadaka..inaonekana inafanya nini sio mtu kumuombea mpaka atoe hela yeye anakuombea na anakubadilishia maisha kwa fedha fedha inaenda kusaidia watu kwa kiwango ambaho serikali haifikii...
 
Halafu hili fungu la kumi kwa nini linasisitizwa sana wakati ilikuwa nadhiri ya Yakobo na Mungu wake? Halafu ukifuatilia nyaraka za Mtume Paulo utagundua alikuwa anafanya kazi ili asiwaelemee waumini wake.
 
Kwa Afrika dini ni inazidi kufanya watu washindwe kutumia akili zao vizuri. Mambo kibao tu ukianza kuyaweka kwenye mizani yapo astray. Dini ni upuuzi kama maupuuzi mengi tunayoyaona mitaani.
 
Hao wachungaji wengi ni wapigaji, ebu chukulia watu kama Kina Gwajima wanacheza hadi porno, angalia mwingira anazaa hadi na wake za watu, angalia Lusekelo anapiga hadi NYAGI na kutukana majirani, Mwamposa anawauzia watu maji kwa bei ya juu yaani ulanguzi na wizi, sasa wachungaji matapeli kama hao ndio wataongea mambo ya maana?
Silijui kanisa kutoka nilipopata kipa imara, lakini Mungu kaniinua sana,ili kufanikiwa si lazima utoe sadaka kwa matapeli au makanisani,sadaka haimuinui mtu,sadaka kazi yake ni kusaidia kutoa huduma za kanisa kama vile kulipa mishahara,kulipia anakara mbalimbali lakini hawa akina Fekero huzifanya sadaka za wajinga ndio mtaji wao wa maisha ya kifahari na wapambe wao, na si akina Mwingira tu bali hawa matapeli wamejaa duniani kote,wanatumia ujinga au shida za waumini kujitajirisha,dini ishakuwa biashara,wakati mwingine naona wenzetu Waislamu angalau wanamuogopa Mungu kuliko sisi Wakristo ambao kila kukichwa huwadanganya binadamu kwa kumtumia Mungu.Ni sisi wakristu ambao sasa tumeanza hata kuhalalisha ndo za jinsia moja,si ajabu Waislamu wanatuita makafiri kutokana na tabia zetu za hovyo.
 
Kwa Afrika dini ni inazidi kufanya watu washindwe kutumia akili zao vizuri. Mambo kibao tu ukianza kuyaweka kwenye mizani yapo astray. Dini ni upuuzi kama maupuuzi mengi tunayoyaona mitaani.
Mkuu akili za mwafrika zipo programmed na mzungu ni mpaka pale tutapoweza kuflash hili tatizo, China washang'amua hili wapo bize kutengeneza kizazi ambacho hakishabiani mawazo na Mzungu.
 
Yule masikini aliyetoa centi mbili Yesu alisema alitoa kuliko wote. Unatoa ulicho nacho na kiheshimiwe. Usiheshimu waliotoa vikubwa.
Hehe bonge la comeback.........uzuri wa kuijua biblia unaweza ukawapiga chenga hawa vibaka wa kiroho kwa kutumia biblia hiohio .....wanaopigwa wengi ni wale hawajielewi
 
ni non logic kumwambia muumini akuchangie pesa ya kununulia gari wakati wewe huyohuyo unajinasibu kumuombea aondokane na umasikini ...stupid..!
You are too low IQ-wise! Funguo za baraka zinapitishiwa kwa watumishi. Mungu anataka kulibariki kanisa zima, kila muumini kwene usharika na jumuia na kigango na kanisa, and not just one person. God is never interested in your little pennies.
 
jamani wazee wastaafu..ndio dili wanapewa mpaka uzee wa kainisa hapo....si unajua shetani akizeeka anakuwa malaika..wamewafilisi baba na mama yangu...dhuuuuu...kwa kuwa ni masuala ya imani unawaacha wapambane nayo wenyewe na hela ni zao..toa ubarikiwe..weeee...ubarikiwe nini zaidi mstaafu uongezewe pension au mifugo yenyewe unafuga passion usikae bure ila sio ki biashara...yaani akipata ibada mara tatu kwa wiki ni vichekesho tukienda kumtembelea maza siku tatu anashinda huko kanisani na cheo wamempa...full kumchuna
Sidhani kama uko hata serious. Kama una uchoyo na tupesa twako tudogo hutaki kutoa sadaka, just kaa natwo tutazitumia kukutibia, sawa!???
 
Ukifuatilia kwa makini wafuasi wa shetani na wasio wacha Mungu wengi ndio wenye good time duniani.
You may seem to enjoy for a time now, they may seem to be suffering now; siyo muda mrefu wafurahio sasa their joy itahamishiwa kwa watesekao. So usijidanganye kwa false comfort ambayo wala hata haidumu.
 
Back
Top Bottom