Wachungaji wanaohamasisha uzinzi sio Nabii Tito peke yake, na Masanja Mkandamizaji yumo

Mwenye anajiita Mchungaji anamsifia Diamond na miziki ya Uchi.
Wavamizi kwenye kazi
 
Makanisa yote na misikiti ni uongo mtupu, there is no God, utapokufa ndiyo mwisho wako hapo
 
Nabii hakubaliki kwao. NI wazi hawezi enda piga pale mtaani kwao kama anavyowapiga hapa daslam!!
Kasauti kakikoroma kdogo tu mtu anaaznisha kanisa
Wajinga ndio waliwao
 
Huyo bwana hata akiambiwa Define the term THEOLOGY sidhani kama anajuaπŸ™
 
Masanja Mkandamizaji anafanya hivi purposely ili ku promote kanisa lake.
Hii Ni mbinu yake ya kuvuta biashara na JamiiForums inampigia debe bure ki kimyakimya kupitia uzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…