Wadada hawa walinifanya nijiunge JamiiForums

Mie nilijiunga kutokana na stories za vijiweni. Kwenye kijiwe kimoja kila siku utasikia umesoma leo alichoandika Mzee ES kule jambo forum? Wengi tulikuwa hatujui jambo forum waliyoifahamu na kumsoma Mzee ES humu walikuwa hawataki kusema alichoandika.

Basi siku moja nikazuka humu enzi hizo wanachama hawakufika hata 150. Nikawa natafuta posts za Mzee ES tu hahahahaha lol! Baadaye nikaanza kuwasoma wachangiaji wengine. Nikapenda niliyokuwa nikiyasoma hivyo kuamua kujiunga

Mzee ES baadaye alibadili ID akajiita Field Marshal huyu ni NONE other than Le Mutuz I am humbled you know.

Nimelowea lakini enzi zile Lemutuz alikuwa akiweka vitu nyeti sana humu achilia mbali wengine waliochomoa nyaraka nyeti na kutafuta namna ya kuziweka humu ili kutufumbua macho Watanzania.
 
binafsi Acc yangu ya kwanza niliifungua mwak 2009 nibaada ya kuhadithiwa mambo mazuri yapatikanayo humu na Jamaa yngu mmoja hivi alikuwa anasoma learn It '' but wakati huo nilikuwa napaogopa mnooo humu "" kutokana na ukomavu wa akili za members na majibu yao aisee"" though nilikuwa bado mdogo mnoo kutokana napilika za masomo hvi na vile ..ile acc nikaipoteza""" so mwaka 2014 nikaamua kurejea tena but nilikuwa msomaji wa post tu "" mpka pale nilipoona sasa napaswa kuwa nachangia mijadala..na jukwaa pendwa lilonivutia ni jukwaa la intelligence"" nilikuwa na vutiwa mnooo na hoja za kina mnepha Kiranga na kina @eiyar
 
Kwi kwi kwi LoL nilikuwa napaogopa mno kutokana na ukomavu wa akili za members humu na majibu yao.

Nawe umeshakomazwa Mkuu. Keep it up!


 
Kwi kwi kwi LoL nilikuwa napaogopa mno kutokana na ukomavu wa akili za members humu na majibu yao.

Nawe umeshakomazwa Mkuu. Keep it up!
hahaaa asante chief
 
Reactions: BAK
Heri ya mwaka mkuu, ni muda mrefu sana nimekuona JF, yale magazeti yako sikuhizi siyaoni
Heri ya mwaka mpya pia mpendwa, kwa kweli magazeti yalikuwa likizo kidogo ila soon yatarudi
 
Mimi ni upeo wangu wa kudiscus mambo ya msingi na pumba ndo ulinifanya nijiunge JF maana huku hutaona Agnes masogange akipost TAKO afu tu like.
 
Mkimuona Numbisa huko pm mfikishieni salamu zangu![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Madame B ni mada gani hiyo ? Hebu niwekee link nika isome labda naweza jiunga tena.[emoji55]
 
Ali acha kuandika zile makala baada ya kurudi bongo na kuanza kuwalamba miguu wale aliokuwa anawachana
Mobimba Nye Nye
 
Reactions: BAK
Bora alifanya hivyo maana awamu hii watu wasiojulikana pale magogoni wangeshakula naye sahani moja. Le mutuz kapotea hajulikani aliko 😡😡😡

Ali acha kuandika zile makala baada ya kurudi bongo na kuanza kuwalamba miguu wale aliokuwa anawachana
Mobimba Nye Nye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…