Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Kweli kabisa. I can move through ur shadow
 
hahahaha hapo kwenye hela unanifurahisha, miss chagga ulioshewa mhelahela utotoni si bure
 
Any gel ambae yupo serious, mwenye malengo ya kimaisha, age range from 20 to 25. Njoo DM
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wozaaa,kungwi shkamoo
 
yeye atakuwa baba wa mtoto wako wa kwanza ,mungu akipenda mimi nitakuwa baba wa mtoto wako wa pili natumai atatokea mwingne atakae kuwa baba wa mtoto wako wa tatu
 
Mtu unaweka bango unahitaji mtu wa sifa Fulani matokeo yake watu wanaokuja wa ajabu mpaka naamini humu hakuna wanawake warembo wabaya wabaya ndio wapo humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh kumbe nikikaza naweza Pata mchepuko humu... njooeni wa dada I don't wanna waiting in vain anymore
 
yeye atakuwa baba wa mtoto wako wa kwanza ,mungu akipenda mimi nitakuwa baba wa mtoto wako wa pili natumai atatokea mwingne atakae kuwa baba wa mtoto wako wa tatu


Na huyo atakayetokea baada yako atakua ni Baba yako!
 
Siamini kama huwa wanakuwa serious nilibahatika kupata mwanamke humu ila ikawa vigumu kukutana nane sababu ya umbia yeye aje one day coz yeye nimfanya biashara next time nilipomtafuta akanijibu usinipigie simu asubui niidhika sana kifupi ni wazinguaji tu hawapo serious
 
Mie Mbona Sijapatwa Maana Kinadada Mnapata Tu. Naombeni Na Mimi Mnipate Kinadada Kama Mnavyowapata Mabroo!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ila Sio Miss Kutafutana Stay Away Please!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…