GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,160
Kweli kabisa. I can move through ur shadowNiliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
hahahaha hapo kwenye hela unanifurahisha, miss chagga ulioshewa mhelahela utotoni si burefanya hima uolewe mapema ila ufanyie kazi swala la kumtii mumeo wanawake wengi tunakimbilia kupenda, hujapewa kazi ya kupenda umepewa nafasi ya kutiii ukishamtii yeye akupende akupe na hela , haikisha unatumia hela zake na udeke sahuri yako we kajifanye nunda humo ndani hutaki pesa ohooooo mi nakushauri tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wozaaa,kungwi shkamooSimtetei,ila siku zote uo ndio ukweli miss[emoji3][emoji1]
Miss venuss popote ulipo kwa mda wako nitafute nkupe maujuzi uyo bwana hata akiwa kazini akukumbuke ww[emoji1].
Hapo lazma watu waseme limbwata,njoo nkupe darasa ,ndani ya mwezi tu bwana anasarenda atakutamkia yy mwenyew sitopenda tena zaidi yako[emoji38][emoji28][emoji1]
silali, kumekuchaKwani hulali tena?
mdogo angu nilipitwa hiii, ngoja nije watsap[emoji28] [emoji28] [emoji28]
uwe unanitag nawee ona nilikosa mpambano ukiwa hot, hahahaha wanawake sisi kazi ipo
Hahahaha hujambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wozaaa,kungwi shkamoo
ha haha uchagani kumwona mtoto mdogo unampa hela ni lazimahahahaha hapo kwenye hela unanifurahisha, miss chagga ulioshewa mhelahela utotoni si bure
hahahahahahahah we nae kambea khaa
Usichoke bana ebu njoo kwa mwana kondoomimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
yeye atakuwa baba wa mtoto wako wa kwanza ,mungu akipenda mimi nitakuwa baba wa mtoto wako wa pili natumai atatokea mwingne atakae kuwa baba wa mtoto wako wa tatuNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
yeye atakuwa baba wa mtoto wako wa kwanza ,mungu akipenda mimi nitakuwa baba wa mtoto wako wa pili natumai atatokea mwingne atakae kuwa baba wa mtoto wako wa tatu
Baada ya baba yangu,atatokea babu yangu.Na huyo atakayetokea baada yako atakua ni Baba yako!
Uchelew Kusema Unataka Kisiwa WwMm bado natafuta sijampata naemuhitaji