miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Vigezo vya kawaida sema walioserious ndo sijaona so kama mwanamke usipowajulia wanaume wa humu unaishia pabaya, namshukuru Mungu nalitambua hiloVigezo vyenu tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigezo vya kawaida sema walioserious ndo sijaona so kama mwanamke usipowajulia wanaume wa humu unaishia pabaya, namshukuru Mungu nalitambua hiloVigezo vyenu tatizo
mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Vigezo vya kawaida tuVigezo vyenu tatizo
Itabid nione hivyo vigezoVigezo vya kawaida tu
Tafuta post yangu niliweka hivo vigezoItabid nione hivyo vigezo
Rubi nilikuaga nakumendea ndio bas tena.NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepi
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Nichukue twende woteahahaaa ngoja niende mazoezi kwanza narudi
huyu kama namkumbukaMm bado natafuta sijampata naemuhitaji
ume tililika vizur mpaka nikataman niwe huyo jamaaa ila hyo verse ya mwsho why umesema mtoto wa kwanza na sio wa milele lakn ww bint!!! yan mhusika sijuia ataumiaje kama mpita njia nimeumia hiviiNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Miss natafuTa kuna siku nilikutafuta ukaniwekea ukuta hadi sijakupata nikaona niende kwa miss chagga hakika nafurahia kuwa jf.... Jf kuzuri sana.mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
ume tililika vizur mpaka nikataman niwe huyo jamaaa ila hyo verse ya mwsho why umesema mtoto wa kwanza na sio wa milele lakn ww bint!!! yan mhusika sijuia ataumiaje kama mpita njia nimeumia hivii
Who was troublendiyo ila tulibwagana for just one month only.ha haaa
Dada hakuna nia mbaya, sema ukweli kuwa humu wapo waoaji na watumiaji tu.Niliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
sijui kwanini ila katika wengi waliopost hapa nimekuamini wewe tuNiliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
Mmmm hongeraNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza