Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Changamoto zilikuwepo coz ni ngumu kumjua yupi ni mkweli na yupi moyo umemkubali.... Ila thanks God kwa kunipa huyu mtu ni zaidi ya mpenzi kwangu, tumekua kama marafiki tukianza kuongea story haziishi ni mwanaume ambae ni muwazi sana... Kama binadamu mapungufu anayo lkn he is the best man ever anajua kupenda hadi hua nachanganyikiwa.....Abarikiwe alieianzisha jf
 
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepi
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Rubi nilikuaga nakumendea ndio bas tena.
 
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
ume tililika vizur mpaka nikataman niwe huyo jamaaa ila hyo verse ya mwsho why umesema mtoto wa kwanza na sio wa milele lakn ww bint!!! yan mhusika sijuia ataumiaje kama mpita njia nimeumia hivii
 
ume tililika vizur mpaka nikataman niwe huyo jamaaa ila hyo verse ya mwsho why umesema mtoto wa kwanza na sio wa milele lakn ww bint!!! yan mhusika sijuia ataumiaje kama mpita njia nimeumia hivii


Atakua mtoto wangu wa kwanza na wa pekee Maishani mwangu
 
Niliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
Dada hakuna nia mbaya, sema ukweli kuwa humu wapo waoaji na watumiaji tu.
 
mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu

Mkuu kutokana na posts nareply zako naweza sema unapitia mapito sawa na rafiki yangu mmoja mwenye elimu ya masters. Anafukiria kuolewa sana mpaka anakta tamaa.
Binafsi kuna kitu nimeki observe kwako. Kama unania ya kupata mtu humu utapata lakini sio mapema. Hii ni kutokana na michango yako inaoneka uko over experienced na relationship. Inawapa men threats sana ndani ya mahusiano na pia unaonekana well educated na independent saana. Unless uchange id kisha utoe tangazo. Pia jaribu kuwashirikisha viongozi wa imani wa kusaidie kuomba au hudhuria ktk maombi.
Anyway kila la kheri, hivi hiyo picha ni wewe?
 
Niliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
sijui kwanini ila katika wengi waliopost hapa nimekuamini wewe tu
 
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Mmmm hongera
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom