Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
dah, wewe,... dahTayariiiiii, umeona sms ya M-pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah, wewe,... dahTayariiiiii, umeona sms ya M-pesa?
Serious man needed baadae awe mumeItabid nione hivyo vigezo
Sema Hauwatakimimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Bado natafutaWakuu kumekuwa na ongezeko kubwa la wadada wanatafuta wachumba humu JF, kama umewai kupata mwenza kupitia JF ..comment neno "ndio"
NDIO,nimepata bila hata kuweka tangazo,namshukur Mungu kwa hilo maan amenipa mume ,rafiki,kiongoz ,mshaur mzuri,tunashukur kwa ndoa na zawad ya mtoto aliyotupa na maisha yenye afya njema tuzid kumtumainia yeyeWakuu kumekuwa na ongezeko kubwa la wadada wanatafuta wachumba humu JF, kama umewai kupata mwenza kupitia JF ..comment neno "ndio"
NDIO,nimepata bila hata kuweka tangazo,namshukur Mungu kwa hilo maan amenipa mume ,rafiki,kiongoz ,mshaur mzuri,tunashukur kwa ndoa na zawad ya mtoto aliyotupa na maisha yenye afya njema tuzid kumtumainia yeye
kwahiyo wanaotafuta kuna watu wapo serious kweli wasikatishwe tamaa na comments za watu,
Pia naishukur JF kwa aliyeianzisha maan imenipatia mume wa maisha yang,
Ameni ShunieHallelujah hongera sana mama
Tuanzishe wa wanaume waliopata wapenzi humu JF [emoji23] [emoji23]Hv huu Uzi ni wa wanawake tu kumbe?nilitaka na mm nilete ushuhuda ila basi ngoja nikae nao mfukoni tu
Niko hapa kumjua kiboko yakoTuanzishe wa wanaume waliopata wapenzi humu JF [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] shem usiwe na haraka kiasi hiyoNiko hapa kumjua kiboko yako
Sina haraka..ila niko kusubiri hata mtondogoo ufike[emoji23] [emoji23] shem usiwe na haraka kiasi hiyo
Hahaha hahaha huu utajaa comment za madudu aisee yaani ninavyowajua wenzangu tunaokojoa wima mh sipati picha.Tuanzishe wa wanaume waliopata wapenzi humu JF [emoji23] [emoji23]
mambo.nani amewahi kupata mpenzi humu?
Wewe ulishawai kupata?mambo.nani amewahi kupata mpenzi humu?