Brigadier Isaac
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 495
- 1,436
- Thread starter
- #101
Kwamba unaonesha hela automatically demu anakubali😁Ukiwa nazo jamani hata haujielezi sana.....Hadi raha
Sasa ukikutana na demu wa kishua Hana shida ya pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unaonesha hela automatically demu anakubali😁Ukiwa nazo jamani hata haujielezi sana.....Hadi raha
😅😅😅😅Bikra huwa inaisha tukitembea umbali mrefu 😜😜Awe bikra
Subiri ntakupigia nkuambie kwa kirefu.....Kwamba unaonesha hela automatically demu anakubali😁
Sasa ukikutana na demu wa kishua Hana shida ya pesa
Mmh inategemeana binafsi nataka Kwanza awe mzuri wa uso kasura Fulani hiviAwe Mvumilivu hiki ndio kigezo kikubwa sana
Wewe Nifundishe tu halafu.......Hatujazoeana
Haya bwana kwaio sisi wenye sura Kama umebugia tonge la ugali wa Moto hatuna nafasi🥺Kwa Asilimia 90 😅😅😅😅
Na wewe ni mdau wa cold approachAsilimia 80 ya mahusiano yang niwatu ambao tulikuwa hatujuani kabsa
Hii imekaa vizuri Ila Kama demu sio mtu wa utani inavunja rapportHata hvyo msichana akiniuliza hata hatujuan na mulizaa kwani wewe ulikuja Dunian ulikuwa unajuana na nan
Hadi nyie mnaotumia njia zingine bado mnakula za uso😂Alooo hii sio kwa usie na mazoea nae tu hata kwa ulie wazoea wakazaji kamba🤣🤣🤣
Umbali mrefu wa futi sita ety😅😅😅😅Bikra huwa inaisha tukitembea umbali mrefu 😜😜
Haina syllabus ni kujitosa tu mtaani kwenda Kukataliwa na mademuMwanang kwel ww brigedia nakubali,hapo nkupa minyota kama yote.🤣🤣hiyo cold approach co pow.syllabus ipi hyo inpatikan
🤣🤣,sema mkuu hujachelew San achan na hyo Sasa tumia hii ya Pythagoras theory itakuw pow zaidHaina syllabus ni kujitosa tu mtaani kwenda Kukataliwa na mademu
Hapo inauma Ila ndio somo lenyewe
Hahhahahaa hakuna kitu hapo 😂 saivi tunataka kitu sealed, zero kilometer.😅😅😅😅Bikra huwa inaisha tukitembea umbali mrefu 😜😜
cocastic njoo useme hapa, nikujueUsije ukajichanganya.
Ni msela kabisa ana vigimbi kama mcheza mpira, kuna siku kaweka picha humu.
We avatar isikudanganye.
Hakuna introvert unazuga tu Timbulo wewe, kutongozea mbali unakwepa aibu ya vibuti.😂😂Ndio chadema walivyo waaminisha ukiwa introvert
ndio unashidwa kueleza hisia zako kwa mwanamke
CountrywideNajisikia vizuri si ndo mwanzo wa kujuana 😜
Na wewe unatongozwaga? 😯😯 Wanaume tuna huruma sana aseembona fresh tu tena raha kutongozwa na mtu usiemjua wallah
Apa mchongo nikuwaendea kwa mtaalam kwa wale majeuri shwaaaaaa😆Hadi nyie mnaotumia njia zingine bado mnakula za uso😂