Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Imenitokea mara nyingi nikipanda zile basi mbovu sikosi pisi ya kulala nayoWewe jamaa umenishinda jamani Hadi kwenye mabasi😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imenitokea mara nyingi nikipanda zile basi mbovu sikosi pisi ya kulala nayoWewe jamaa umenishinda jamani Hadi kwenye mabasi😂😂
😅😅😅😜😜Sasa mimi ntajijuaje bila kuambiwaKwani wewe sio mke mwema
Hahaha unaonekana una bahatiImenitokea mara nyingi nikipanda zile basi mbovu sikosi pisi ya kulala nayo
hao ni watoto badoSijui ila wengine wananiambia wanataka uanzie kwenye friend zone ndio mje kuwa wa penzi Sasa Kama Mimi nishazoea kunyosha maelezo Kama kitu nakitaka
😂😂😂😂😂😂😂
Muonekano je? 😅😅Maana wengi huangalia hiloSijui ila wengine wananiambia wanataka uanzie kwenye friend zone ndio mje kuwa wa penzi Sasa Kama Mimi nishazoea kunyosha maelezo Kama kitu nakitaka
Imenifanya nisipande gari nzima kabisa, zile namba A ndio gari zangu siku hiziii...Hahaha unaonekana una bahati
Nashukuru mrembo kwa kunitia moyo🤩hao ni watoto bado
Ila hela inaongeabHamna kitu kibaya Kama huwe na hela halafu ni Domo zege
Introvert wapi Babu ... Hao Jamaa hawanaga ujasiri was kusimama mbele ya demu Wana aibu mbaya.
We CCM imekuharibu.
😂😂Ndio chadema walivyo waaminisha ukiwa introvertIntrovert wapi Babu ... Hao Jamaa hawanaga ujasiri was kusimama mbele ya demu Wana aibu mbaya.
We CCM imekuharibu.
Nimekuona hapa wakati unachukua nilitumia D ya civics kubaini hilo.Niko nasoma hapa mbinu maana nimechukua number ya nurse sms ndeeeefu niliyotuma nimejibiwa "okay .
Et inawezekana sometimes muonekano ukachangia ukapigwa mateke ya mbavu😂😂Muonekano je? 😅😅Maana wengi huangalia hilo
Aisee bro umefanya vizuri Sasa hivi magojwa mengiImenifanya nisipande gari nzima kabisa, zile namba A ndio gari zangu siku hiziii...
Kwanza tuanze hapo wife material yukoje kwani?🤪😅😅😅😜😜Sasa mimi ntajijuaje bila kuambiwa
Mimi sikamiagi akininyonya mua napiga kimoja nalala...D
Aisee bro umefanya vizuri Sasa hivi magojwa mengi