Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Cha ajabu nini hapo? Tatizo ukiwa huna gari, mtu akikwambia anadrive unaona kama anaringa ulitaka akwambie nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuuWewe ni mwanaume jambo dogo kama Hilo hupaswi kukata tamaa.Inferiority inakusumbua.
😂😂😂😂 hapanaukiwa huna gari, mtu akikwambia anadrive unaona
Ahahaha mtagMfano jirani yangu na JF yumo.. yaani ata kusalimia hasalimii anatupita apa kijiweni kisa si boda ata kushusha kioo kusema mambo zenu hataki..
Zikufikie popote ulipo L.
MuhaDogo sali tu jumuiya urudi kwenu. Wewe ni muha au msukuma?
Lipia ada kabisaRudi memkwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi akikuambia nilipie faini ya trafiki utalipa kweli?
Au aseme yupo gereji kapungukiwa elfu 50 ... inahitajika..utapokea simu au ndo utam block moja Kwa moja?
Mwambie ukweli ya kwamba unahitaji mtombane watoto wa kishua hawahitaji bembelezwa Sana utafeli kk!!
😂😂😂 tena awai mwendo kasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au anaambiwa leo sijatoka na gari..Nimechelewa sana kuingia kazini..
Haulizi kwa nini? Hapo anajua ataambiwa habari ya Wese..
Anakujibu tu..Pole kesho itabidi uwahi kutoka sasa...[emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au anaambiwa leo sijatoka na gari..Nimechelewa sana kuingia kazini..
Haulizi kwa nini? Hapo anajua ataambiwa habari ya Wese..
Anakujibu tu..Pole kesho itabidi uwahi kutoka sasa...[emoji1]
Vitapita ni swala la muda tuMdogo wangu tafuta hela
Huu uzi umeuandika kwa wivu wa hali ya juuu
Gari na nyumba ni vitu vya kupita ila omba vipite na kwako
Hahaha kwani hao mabahamed na housegrl wana shida gani mbona wengine k zao mnato tena safi kabisa utasema kama ajawai tumiksAu aombwe hela ya saloon na mafuta na service ya gari ..Kwa mpigo...
Anakwambia Tu jumapili nahitaji kwenda saloon na gari pia lifanyiwe service kidogo...so dear please usiniangushe sitakuelewa..🤣 jamaa ata block namba na kurudi Kwa ma house girls na mabaa Medi taratibu 😅😅🤣🤣 isiwe kesi...
Sina upumbavu uho
Pesa makaratasi kumpa naweza labda kma nisiwe nayo kwa wakat uho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au aombwe hela ya saloon na mafuta na service ya gari ..Kwa mpigo...
Anakwambia Tu jumapili nahitaji kwenda saloon na gari pia lifanyiwe service kidogo...so dear please usiniangushe sitakuelewa..[emoji1787] jamaa ata block namba na kurudi Kwa ma house girls na mabaa Medi taratibu [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] isiwe kesi...
Dah ila weweeNani kaona UHO?
Dah ila wewee