Wadada mnaotaka kuolewa. Chondechonde msiolewe na wanaume wanaoshabikia mpira. 98% hufa masikini kabisa

Makofi tafadhali[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hapo kwenye fucken imenibidi nicheke tu mkuu🤣🤣🤣, sawa hata kama kuna ukweli basi ungewaeleza pole pole wangekuelewa tu
 
Mwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo

Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
Salute Mkuu.
 
Mtu anashinda vijiweni mara asafiri na tumu muda wa kutafuta hela anapata wapi?
Mm nina sehemu ya kurusha marangazo ya mipira na michezo mingine kama ngumi ila watu wanaonisumbua hata kulipa kiingilio au kunywa japo kinywaji ni Hawa mashabiki oya oya hela hawana kazi kelele tu
 
Hapa ndo unaweza kusema siku zote za mwenzio changanya na zako.
 
Kawanyoosha
Nafuatilia Mpira Kwa Afya lkn WAKUU wenzangu mmezidi. Hata Watoto watahisi watapata pensheni kwenye Mpira. Mpira ni upuuzi. Japo Nina timu naipenda Kwa kiasi. Haininyimi usingiz, na sijawahi kwenda kuitazama live zaid ya kutumia luninga na kishkwambi changu.
 
Conflict of interest.shida hapa kila anae tetea hasimami kwenye ukweli ila anatetea kile anafanya. Wengine wanatetea waume zao na wengine wanajutetea wao ila ukweli ni kuwa ushabiki wa mpira uliozidi lazima uwe maskini
 
Hahaha
 
Conflict of interest.shida hapa kila anae tetea hasimami kwenye ukweli ila anatetea kile anafanya. Wengine wanatetea waume zao na wengine wanajutetea wao ila ukweli ni kuwa ushabiki wa mpira uliozidi lazima uwe maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…