shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,514
Duh, kwa hiyo mwanaume kukutongoza kwako ni kosa kubwa.Kutongoza .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, kwa hiyo mwanaume kukutongoza kwako ni kosa kubwa.Kutongoza .
Hapanaduh,kwa hiyo mwanaume kukutongoza kwako ni kosa kubwa
Labda wewe ndio una huo moyo wa kurudisha ila mmiliki wa uzi ahesabu ndio katoa sadaka hvyoAtakuwa hajapata ndio mana anakukwepa mvumilie tu kidogo mkuu atakupa pesa zako
Me naogopa kudaiwa jamanLabda wewe ndio una huo moyo wa kurudisha ila mmiliki wa uzi ahesabu ndio katoa sadaka hvyo
Bora yako wewe mwenye hiyo aibu wengine hawanaMe naogopa kudaiwa jaman
Hapana mkuu, siwezi kufanya hivyo I did it out humanity ad respect for her ila sio kwaajili yakujiandalia mazingira ya nyucciVumilia mkuu
au
kapewe papa yaishe mkuu... siunajua tuna mgodi unaotembea
Tena LA jinaiduh,kwa hiyo mwanaume kukutongoza kwako ni kosa kubwa
DohLabda wewe ndio una huo moyo wa kurudisha ila mmiliki wa uzi ahesabu ndio katoa sadaka hvyo
Mwanamke hakopeshwi mkuu akiomba unafanya kama unampa tu kama unayo
AiseeMwanamke hakopeshwi mkuu akiomba unafanya kama unampa tu kama unayo
Hio hata akikupa k machungu hayaishi...daaah!Dah nkikumbuka dada mmoja nilimsevu laki nane lakini hadi leo hajarudisha imepita miezi7 tangu nimsevu hiyo hela ila ipo siku atatingwa atakuja nipigia magoti
Wewe ni baba wa huyo mtoto? tuanzie hapoHabari za wakati huu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa simu inaita kupokea ananisalimia nakuniambia kwamba ana shida moja kubwa sana anahitaji msaada wangu.
Kumuuliza nini tatizo, akaniambia mtoto wake kesho yake anacommence mitihani ila wameambiwa bila kuclear ada anayodaiwa hatoruhusiwa kufanya mitihani. Hivyo alikua anaomba nimuazime kiasi kadhaa cha fedha akalipe mtoto aruhusiwe kufanya mitihani na angenirudishia baada ya siku mbili. Bila hiyana nilimsaidia kwakua naelewa umuhimu wa mtoto kwenda shule na pia naelewa matatizo tumeumbiwa binadamu hivyo yatupasa kusaidiana pale tunapokua tuna uwezo wa kufanya hivyo.
Cha ajabu sasa, yule dada siku mbili zilipita nikaona kimya, zimepita siku takribani 5 sasa naona yuko kimya. Hakuna cha sms, wala hata simu angalau kusema kwamba ametingwa. Nikikutana nae kwa job anajitahidi kunikwepa sana, anakua hana amani anajichekesha chekesha mara azuge nitakuona baadae na mimi nimekaa kimya kwanza nione anavyoact.
Kikubwa, wadada muwe waaminifu, unajua shida hazina mwisho. Leo hii ukikosa uaminifu, siku nyingine utapata matatizo makubwa zaidi na utaona aibu kumfuata mtu ambaye angeweza kukusaidia kwa moyo mkunjufu lakini tayari umeshavunja uaminifu kwake.
Toleka!
Huo mzigo kwenye avatar ni wako? If yes ni pmHv unaanzaje kumlipa mwanaume? Ila kama hujawai kunitongoza siwezi kukukopa hata.so naosepa na hela zao ninakuwa Nina haki nazo
Hata kama hajapata si awe mkweli wakunyumba.Atakuwa hajapata ndio mana anakukwepa mvumilie tu kidogo mkuu atakupa pesa zako
Nitumie na mimi mpenziBaby J njoo uchukue ile laki moja.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hv unaanzaje kumlipa mwanaume? Ila kama hujawai kunitongoza siwezi kukukopa hata.so naosepa na hela zao ninakuwa Nina haki nazo