ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
teh unarudisha ukimkop shemej wa kunyumbaAtakuwa hajapata ndio mana anakukwepa mvumilie tu kidogo mkuu atakupa pesa zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh unarudisha ukimkop shemej wa kunyumbaAtakuwa hajapata ndio mana anakukwepa mvumilie tu kidogo mkuu atakupa pesa zako
Ni dhambi sana lakini. Huwez jua alikua na shida nayo kiasi gani hiyo hela akakupa wewe umalize kwanza shida yako. Halafu unamdanganya jamani. Mimi napenda ukweli sana. Hata kama huna niambie tuNikimwambia ukweli hatonipa na mimi nna shida kweli kweli unadhani ntafanyaje zaidi ya kudanganya
Unapo sema kumkopesha mtu ni kuanzia laki 1. [emoji23] [emoji119] [emoji119]Ni uwezo wake huo. Ulitaka aseme uongo kwamba alimpa mia tatu elfu au
Kazi sana. Mi namdai mtu hela nina rb na kila kitu ila sijui pa kumpata. Nabaki namshtaki kwa Mungu tu mpaka siku nimdakeDawa yao nini watu kama hao?
Kuanzia laki inaweza kuwa ni kigezo chako binafsiUnapo sema kumkopesha mtu ni kuanzia laki 1. [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Now that hurts kama alikuwa na shida zake.Ni dhambi sana lakini. Huwez jua alikua na shida nayo kiasi gani hiyo hela akakupa wewe umalize kwanza shida yako. Halafu unamdanganya jamani. Mimi napenda ukweli sana. Hata kama huna niambie tu
Shemeji yako akinikopesha ndio kanipa hazirudi na analifahamu hilo lakini huyo ameshasema sio mpenzi waketeh unarudisha ukimkop shemej wa kunyumba
Msamehe tuKazi sana. Mi namdai mtu hela nina rb na kila kitu ila sijui pa kumpata. Nabaki namshtaki kwa Mungu tu mpaka siku nimdake
Hela haijawahi kukosa matumizi. Ndo maana kuna watu wanaalaanika wanasjika hela ila hawafanyi maendeleo sababu wameshika hela zenye vinyongoNow that hurts kama alikuwa na shida zake.
kama sio wapez kulipa lazima ila kama ndo hivy ten basi ndo hivyo...Shemeji yako akinikopesha ndio kanipa hazirudi na analifahamu hilo lakini huyo ameshasema sio mpenzi wake
Si kweli, hela inaweza kukaa tu kwenye akaunti just incase. Binafsi naweza kukopesha mtu kama nna hela ambayo siihitaji kwa wakati huo.Hela haijawahi kukosa matumizi. Ndo maana kuna watu wanaalaanika wanasjika hela ila hawafanyi maendeleo sababu wameshika hela zenye vinyongo
Siwezi kumsamehe mkuu. Hiyo hela nilikopa sehemu niongezee nifanyie nililotaka kufanya halafu akanitapeli. Sasa hivi nalipa deni wakati hela nilichokusudia kufanya sijafanikisha. Najibana kufidia deni na nilichotaka kufanya kwa ajili yake. Mungu atamlipa na sheria itafuata mkondo wake.Msamehe tu
Sawa lakini tunatofautiana ujue kuna mtu akiwa na deni yaani ile aibu hata njia anaweza badilisha na sio kwamba anapenda bali ni ile hali ya kukosa anahisi kama ndio utazidi kukwazika.Ni busara kuheshimu makubaliano. In case kuna tatizo ni busara kumjulisha anayekudai ili kuondoa sintofahamu
Hamna hela usiyohitaji. Basi tu anaekukopa unakua umemjali ndo sababu unampatia. Kama haina kazi si bora ukafanyie shopping gf wako au mpeleke hata mkoa mwingine akale bata. Watu wanapata hela zao kwa shida. Mtu aamke asubuhi aache kitanda aende kazini halafu uchukue hela yake bure tuu eti kisa ilikaa kwenye accountSi kweli, hela inaweza kukaa tu kwenye akaunti just incase. Binafsi naweza kukopesha mtu kama nna hela ambayo siihitaji kwa wakati huo.
Pole sanaSiwezi kumsamehe mkuu. Hiyo hela nilikopa sehemu niongezee nifanyie nililotaka kufanya halafu akanitapeli. Sasa hivi nalipa deni wakati hela nilichokusudia kufanya sijafanikisha. Najibana kufidia deni na nilichotaka kufanya kwa ajili yake. Mungu atamlipa na sheria itafuata mkondo wake.
Hahahaa. Basi hata hiyo kesho shemeji.Leo sirudiii
Huwezi kuchukua pesa ya emergency ukaenda kula bata au kufanya shopping.Hamna hela usiyohitaji. Basi tu anaekukopa unakua umemjali ndo sababu unampatia. Kama haina kazi si bora ukafanyie shopping gf wako au mpeleke hata mkoa mwingine akale bata. Watu wanapata hela zao kwa shida. Mtu aamke asubuhi aache kitanda aende kazini halafu uchukue hela yake bure tuu eti kisa ilikaa kwenye account
Ukimkopesha mwanaume ni rahisi kumdai hata mahakamani utaenda na utamshinda.Ni busara kuheshimu makubaliano. In case kuna tatizo ni busara kumjulisha anayekudai ili kuondoa sintofahamu