Wadada muwe waaminifu mnapoazima fedha toka kwetu wanaume

Wadada muwe waaminifu mnapoazima fedha toka kwetu wanaume

Hii tabia ya kuleta ujanja ujanja kwenye ulipaji wa deni haina jinsia. Wapo binadamu wa kiume nao huwa hawarudish pesa za watu tena kama mpo mbali hata simu zako hazipokelewi.

Tuwe waaminifu.
 
Inaonekana ametingwa au amekosa alipotegemea kupata. Mpe muda mpaka mwisho wa mwezi uone. Asipokurudishia jua alipanga kukutapeli.
Ila jamani msikopeshe watu hela. Hawalipiiii
Hawalipi kwa makusudi au vyuma vmekaza?
 
Mvumilie tu Mkuu sidhani kama ndio lengo lake kutokukulipa.Huenda ikawa hajapata.

Ila siku tano tu unalalama huwezi jua labda anasubiria mwisho wa mwezi ndio akugee.
 
Habari za wakati huu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa simu inaita kupokea ananisalimia nakuniambia kwamba ana shida moja kubwa sana anahitaji msaada wangu.

Kumuuliza nini tatizo, akaniambia mtoto wake kesho yake anacommence mitihani ila wameambiwa bila kuclear ada anayodaiwa hatoruhusiwa kufanya mitihani. Hivyo alikua anaomba nimuazime kiasi kadhaa cha fedha akalipe mtoto aruhusiwe kufanya mitihani na angenirudishia baada ya siku mbili. Bila hiyana nilimsaidia kwakua naelewa umuhimu wa mtoto kwenda shule na pia naelewa matatizo tumeumbiwa binadamu hivyo yatupasa kusaidiana pale tunapokua tuna uwezo wa kufanya hivyo.

Cha ajabu sasa, yule dada siku mbili zilipita nikaona kimya, zimepita siku takribani 5 sasa naona yuko kimya. Hakuna cha sms, wala hata simu angalau kusema kwamba ametingwa. Nikikutana nae kwa job anajitahidi kunikwepa sana, anakua hana amani anajichekesha chekesha mara azuge nitakuona baadae na mimi nimekaa kimya kwanza nione anavyoact.

Kikubwa, wadada muwe waaminifu, unajua shida hazina mwisho. Leo hii ukikosa uaminifu, siku nyingine utapata matatizo makubwa zaidi na utaona aibu kumfuata mtu ambaye angeweza kukusaidia kwa moyo mkunjufu lakini tayari umeshavunja uaminifu kwake.

Toleka!
hawa viumbe (ukimtoa mama yangu)wanamtazamo hasi ktk suala la msaada hasa fedha,wanafikiria tu wao niwakusaidiwa,akipewa basi hakunahaja ya kurudisha ndo imetoka anaona ni kama haki yake. Na olewako umtongoze papuchi hupewi atakuzuga umpetipeti tu na mwisho wa siku atakuambia kwanza umemkosea heshima kumshika shika, hatimaye ndo imetoka usubiri mamemo ya shombo
 
Back
Top Bottom