Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawalipi kwa makusudi au vyuma vmekaza?Inaonekana ametingwa au amekosa alipotegemea kupata. Mpe muda mpaka mwisho wa mwezi uone. Asipokurudishia jua alipanga kukutapeli.
Ila jamani msikopeshe watu hela. Hawalipiiii
Nitumie na mimi mpenzi
Ukiona hivyo huyo mdai haingiliki kumwambia ukweli sura ya ukauzuHata kama hajapata si awe mkweli wakunyumba.
mkuu hujanielewaHapana mkuu, siwezi kufanya hivyo I did it out humanity ad respect for her ila sio kwaajili yakujiandalia mazingira ya nyucci
Wengine makusudi. Kwanini ukope wakati huna uhakika wa kulipa deni? Watu sio waoga kabisa kukaa na hela za watuHawalipi kwa makusudi au vyuma vmekaza?
Wengine makusudi. Kwanini ukope wakati huna uhakika wa kulipa deni? Watu sio waoga kabisa kukaa na hela za watu
Mvumilie tu Mkuu sidhani kama ndio lengo lake kutokukulipa.Huenda ikawa hajapata.
Ila siku tano tu unalalama huwezi jua labda anasubiria mwisho wa mwezi ndio akugee.
Nasubiri bby. Ndo maana nakupenda [emoji10][emoji10][emoji10]We nakutumia milioni kabisa!
Basi mwambie mtu mkweli kuwa sijui nakupatia lini pesa yakoKuna wakati tunakopa na hatujui tutalipaje!
Basi mwambie mtu mkweli kuwa sijui nakupatia lini pesa yako
Huu mchezo wa kukopesha wanawake usije urudia hata siku mmoja. Km anashida ya hela bora utoe km sadaka tu.Hahah, unafkiri tatizo ni uvumilivu mkuu? Tatizo ni trust
Ni busara kuheshimu makubaliano. In case kuna tatizo ni busara kumjulisha anayekudai ili kuondoa sintofahamuMvumilie tu Mkuu sidhani kama ndio lengo lake kutokukulipa.Huenda ikawa hajapata.
Ila siku tano tu unalalama huwezi jua labda anasubiria mwisho wa mwezi ndio akugee.
Dawa yao nini watu kama hao?Wengine makusudi. Kwanini ukope wakati huna uhakika wa kulipa deni? Watu sio waoga kabisa kukaa na hela za watu
hawa viumbe (ukimtoa mama yangu)wanamtazamo hasi ktk suala la msaada hasa fedha,wanafikiria tu wao niwakusaidiwa,akipewa basi hakunahaja ya kurudisha ndo imetoka anaona ni kama haki yake. Na olewako umtongoze papuchi hupewi atakuzuga umpetipeti tu na mwisho wa siku atakuambia kwanza umemkosea heshima kumshika shika, hatimaye ndo imetoka usubiri mamemo ya shomboHabari za wakati huu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa simu inaita kupokea ananisalimia nakuniambia kwamba ana shida moja kubwa sana anahitaji msaada wangu.
Kumuuliza nini tatizo, akaniambia mtoto wake kesho yake anacommence mitihani ila wameambiwa bila kuclear ada anayodaiwa hatoruhusiwa kufanya mitihani. Hivyo alikua anaomba nimuazime kiasi kadhaa cha fedha akalipe mtoto aruhusiwe kufanya mitihani na angenirudishia baada ya siku mbili. Bila hiyana nilimsaidia kwakua naelewa umuhimu wa mtoto kwenda shule na pia naelewa matatizo tumeumbiwa binadamu hivyo yatupasa kusaidiana pale tunapokua tuna uwezo wa kufanya hivyo.
Cha ajabu sasa, yule dada siku mbili zilipita nikaona kimya, zimepita siku takribani 5 sasa naona yuko kimya. Hakuna cha sms, wala hata simu angalau kusema kwamba ametingwa. Nikikutana nae kwa job anajitahidi kunikwepa sana, anakua hana amani anajichekesha chekesha mara azuge nitakuona baadae na mimi nimekaa kimya kwanza nione anavyoact.
Kikubwa, wadada muwe waaminifu, unajua shida hazina mwisho. Leo hii ukikosa uaminifu, siku nyingine utapata matatizo makubwa zaidi na utaona aibu kumfuata mtu ambaye angeweza kukusaidia kwa moyo mkunjufu lakini tayari umeshavunja uaminifu kwake.
Toleka!
Ni uwezo wake huo. Ulitaka aseme uongo kwamba alimpa mia tatu elfu auNa wewe acha kelele yaani kimuazima huyo demu elfu 30 ndiyo unatanganza huku.