Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Kuna mambo yanasikitisha sana....
Nasoma comments...
 
Kuna mdada nilikuwa namheshimu sana mpaka nikaanzisha mahusiano baada ya kumuona kama anajielewa...
Kiruuu mizinga anayopiga sasa duuhh mara mtoto wake hana uniform,mara anataka amtahiri mwanae nk..
Cha ajabu alivyoanza mahusiano na mimi akaamua kutumia family plan ili asizae miaka mitano...sasa mtu hataki kuzaa namimi lkn pesa anaitaka wa nini huyo [emoji23][emoji23]
 
Upendo huvumilia yote, upendo hauhesabu mabaya
 
nitakufata kule unitumie kapicha nisaminishe🤣🤣wala Sina makasiriko niko cool
Bado tu unahangaika?😂

Hakikisha unapoomba picha za warembo unatag zulu man ili nikutumie kama wakikataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…