Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Sasa si vilevile tu kama wanavyo fanya malaya wewe mwenyewe umeona kuna tofauti.
 
Hahaha...
Unajua kitakachotokea sindiyo...??

Halafu upite na kule kwenye screen kama app tafadhali,πŸ˜‚

Sitaki kusema sanaπŸ˜‚

Eeeh halafu sijui kwanini leo nimepasahau vile, kumbe kuna mambo? Ngoja nikachungulie.
 
kwani wewe upo dom?🀣🀣🀣
 
Ukilusha nitag chap🀩🀩
Nikipiga kwenye godown Langu ntakutag Usijareeeeee✌️ wengine kuchwambwa tushachambwa sana humuu na kutukanwa mitusiiii juuuu !!
sophy27 dear mie pia mwaka uliisha vizuri my Wangu tukitoka kuchambwa hapaa badae unistue nikubles
 
Nikipiga kwenye godown Langu ntakutag Usijareeeeee✌️ wengine kuchwambwa tushachambwa sana humuu na kutukanwa mitusiiii juuuu !!
sophy27 dear mie pia mwaka uliisha vizuri my Wangu tukitoka kuchambwa hapaa badae unistue nikubles
sema fanya mpango inipige kizinga🀣
 
sema fanya mpango inipige kizinga🀣
Vizingaa hapana nimekoma mimiii!! πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Sio kwa πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ hizi 😁!
 
Vizingaa hapana nimekoma mimiii!! πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Sio kwa πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ hizi 😁!
acha uwoga wewe😍
 
Nikipiga kwenye godown Langu ntakutag Usijareeeeee✌️ wengine kuchwambwa tushachambwa sana humuu na kutukanwa mitusiiii juuuu !!
sophy27 dear mie pia mwaka uliisha vizuri my Wangu tukitoka kuchambwa hapaa badae unistue nikubles
Usijali ndugu tujue tu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie aisee nitakuita unibless japo tumeambiwa sura kama vibomporiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kichambo kiendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…