Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Aibu sana😁😁😁😁😁Na yeye atataka Halafu mbaya zaidi Hana matumizi nayo na hajui inatumika vipi.
Unakuta anakurundikia matatizo hatua za awali tuu za kufahamiana mpaka utajiuliza sasa huyu alikuwa anaishije hapo kabla hatujafahamiana😁😁😅
Kipenzi kwani unatamani kunifahamu ?😁😁binafsi utanisaidia sana
Kungwi sasa😁😁Ondoa shaka ndugu
Tatizo lako limeisha kabisa.
😂 😂 😂 😂 Afu we Jemima Mrembo weweee..!! Eti komeni mara moja..!!Uanaume sio umbo, ni matendo. Ukiombwa hela inbox au PM usitangaze. Binafsi sina hulka ya kuomba hela na kama yupo ambaye nimewahi kumuomba hela aweke screenshot nitamrudishia mara tatu...
Huo ni ugonjwa kama magonjwa mengineJana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023...
😂 watoto hawali petrol ni ugaliMimi nilijua zuio kwa sababu ya mafuta yamepanda bei..kumbe ni unga rafiki yangu…
Au hizo 💵 unatumia na mahindi ndugu mmarekani mwenzangu
Ondoa shaka ndugubinafsi utanisaidia sana
Nilikuambia......!!!😅Kungwi sasa😁😁
Ni kitu gani?kuna kitu nimejifunza hapa ktk huu uzi
Mwanamke asie omba hela huyo kwa asilimia kubwa sio pisi kali.Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri. Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!
Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
Heee😄😄😄😂 watoto hawali petrol ni ugali
Kungwi unapuyanga sanaOndoa shaka ndugu
Tatizo lako limeisha kabisa.
Nilikuambia......!!!😅
Jiandae kwa ugeni upya huo na hakikisha unamkarimu vizuri.
Hapo bado sijashusha CV yako,nikiweka itakuaje
😂 imeisha hiyoHeee😄😄😄
Hee kumbee…itabid niende uturuki nikatengeneze shape nije kupiga mizingaMwanamke asie omba hela huyo kwa asilimia kubwa sio pisi kali.
Haiishi nasubiria bei ya unga ishuke😂 imeisha hiyo
Wee katengeneze tako hilo bwana upate kuhongwaHee kumbee…itabid niende uturuki nikatengeneze shape nije kupiga mizinga
Nisamehe bure na nivumilieKungwi unapuyanga sana
Hivi kuna watu wanahonga Iphone14 mjomba!!Wasione mwenzao kapewa iphone14
Tunateseka sana wenye flatscreen🥺🥺🥺Wee katengeneze tako hilo bwana upate kuhongwa
Nimekusamehe😄Nisamehe bure na nivumilie
Nashkuru sanaNimekusamehe😄