Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Mwanamke asie omba hela huyo kwa asilimia kubwa sio pisi kali.
 
Ondoa shaka ndugu
Tatizo lako limeisha kabisa.
Nilikuambia......!!!😅
Jiandae kwa ugeni upya huo na hakikisha unamkarimu vizuri.

Hapo bado sijashusha CV yako,nikiweka itakuaje
Kungwi unapuyanga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…