Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Aibu sana😁😁😁😁😁Na yeye atataka Halafu mbaya zaidi Hana matumizi nayo na hajui inatumika vipi.
Unakuta anakurundikia matatizo hatua za awali tuu za kufahamiana mpaka utajiuliza sasa huyu alikuwa anaishije hapo kabla hatujafahamiana😁😁😅