Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nataka nikuhonge bila kunipiga mizinga nitumie PM namba yako 😆Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela😂
Halafu Mimi hata sitangazi wala sianzishi uzi humu JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nikuhonge bila kunipiga mizinga nitumie PM namba yako 😆Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela😂
🤣🤣🤣🤣dah kweli Sina bahati aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hapo nshashindwaaa mda tyuuh.
kasoro wewe tuu mremboo😍😍[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaa!!!!
😂 sasa ntaaminije bila kuona, niaminisheTomaso acha ubishi basi😆😆
We ulibahatika kukutana na warembo wasio na njaa na wenye stamala (kujishikilia au haya na kujiheshimu)Mbona mimi huko PM nachat nao na mpaka wengine whatsup number zao ninazo, watatu tumeshawhi kukutana for some discussions. Nilitegemea niombwe na nilikuwa nipo tayari kutoa pesa sikuombwa.
🤣🤣🤣🤣hapana bhanaMgomviiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.😂 sasa ntaaminije bila kuona, niaminishe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ndio wewe pole🤣🤣🤣Yani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.
View attachment 2477308
Aisee kumbe na ndani ulimuweka 😍😍basi ulimpenda sana huyo dada ni vile alikuwa hajakomaa kiakili Maskini ya Mungu.
Ninaiman huko alipo atakuwa anakukumbuka vilivyo.
Nae Alivuka mipaka mpka kufikia kumchafua mamamkwe mhhh..
Aise.hii comment yako imenionesha kuwa una upendo + ubinadamu
Mungu akutunze mjomba😊
Umeipata wapi hii? Umenikumbusha kwetu Manushi SindeYani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.
View attachment 2477308
Umeona ehhMbona baba babu😆😆😆
😂😂😂 nimecheka caption sio picha yako, picha ni tofaut na uhalisiaYani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.
View attachment 2477308
Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.Aisee kumbe na ndani ulimuweka 😍😍basi ulimpenda sana huyo dada ni vile alikuwa hajakomaa kiakili Maskini ya Mungu.
Ninaiman huko alipo atakuwa anakukumbuka vilivyo.
Nae Alivuka mipaka mpka kufikia kumchafua mamamkwe mhhh..
Aise.hii comment yako imenionesha kuwa una upendo + ubinadamu
Mungu akutunze mjomba😊
Na hili nalo mkalitazame [emoji1787][emoji1787]Afutiwe dhambi zake zote huyu, sanamu lake lijengwe ubungo mataa, aende peponi moja kwa moja na asiulizwe swali hata moja, haya ni maelekezo yataekelezwe.
Bado masuria!!😀😀Pole kaka, sasa wanawake wote hao ni wa kwako mkuu umekuwa Mfalme Suleman [emoji23] (ni utani tu mkuu don't take it seriously)
Hebu nimuoneeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona sijawathaminisha kwa ubaya mama[emoji28]
Wifi yako ni chombo matata sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!Tatizo huyo kijana ananisumbua sana "nampenda coca nampenda coca mara katoto keupe sijui Nini,ndio namsaidia kukuelezea ili moyo wake uzame mazima na nimempa onyo "bila valentine gifts ya gharama kubwa asikufuate"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli huna bahatiiii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah kweli Sina bahati aisee
Kasoro mie nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kasoro wewe tuu mremboo[emoji7][emoji7]
Kweli wee ni mgomvi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana bhana