cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.
View attachment 2477308
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe shida yako ni unidhalilishe na hii screen yangu.haya hiyo hapo.
View attachment 2477308
wee nimrembo😍Kasoro mie nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana weee mi nataka uniombe!😂😂😂Sasa kaniwekee kulee si ushajua natakaa vochaa mwayaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.
Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.
Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
Haya naomba vochaaa dear, [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]Bwana weee mi nataka uniombe![emoji23][emoji23][emoji23]
ugomvi wangu nini sasa🤣🤣Kweli wee ni mgomvi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo profile ndo mie.wee nimrembo[emoji7]
Unajua mwenyewee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ugomvi wangu nini sasa[emoji1787][emoji1787]
aloo😍siunaona Sasa ulivyo mrembo🤩Hiyo profile ndo mie.
🤣🤣🤣sipo hivyoUnajua mwenyewee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaniombe kule sio hapa bwana😂😂Haya naomba vochaaa dear, [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
Ondoa shaka,nitakutumia usiku wa manane members wakilala kwenye uzi wenu uleHebu nimuoneeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mimi mkuu..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ndio wewe pole🤣🤣🤣
Tomaso utakula makonzi ujue😄😂😂😂 nimecheka caption sio picha yako, picha ni tofaut na uhalisia
Makonzi ya mwenye Tv la chogo huwa hayaumi 😀Tomaso utakula makonzi ujue😄
nilishawahi kuwa na pisi ya aina hiyo lakini cha ajabu haikurudi kijijini bado iko mjini inakomaa tafajsiri yake kuna madanga mengine yalikuwa nyuma yanguKuna muda unakutana na mdada mnajenga urafiki kabisa nakuwa naona huyu kwenye kazi zangu atanifaa ngoja niweke mambo Sawa kisha nitakaa nae mezani tuyajenge daaahh kabla hata ya kufka point ataanza kuomba omba pesa bila ya mpangilio kutaanza. Mara sijui mama mgonjwa, kodi inaisha nitarudi tuu kijijini na utanikosa, mtoto wangu anaumwa daaah kifupi Mnakatisha tamaa wadada na mnatuogopesha sana sisi wazee wa mishe.
Kwani mjomba huyo si ni mimi jamani..mbona umenisahau mapema hivyo…Umeipata wapi hii? Umenikumbusha kwetu Manushi Sinde
Maskini..🥺🥺🥺keshapoteza muelekeo jamani.Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.
Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.
Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
Hadi wewe unanicheka kipenzi 🥺🥺🥺sawa hakuna shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]