Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.

Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.

Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna muda unakutana na mdada mnajenga urafiki kabisa nakuwa naona huyu kwenye kazi zangu atanifaa ngoja niweke mambo Sawa kisha nitakaa nae mezani tuyajenge daaahh kabla hata ya kufka point ataanza kuomba omba pesa bila ya mpangilio kutaanza. Mara sijui mama mgonjwa, kodi inaisha nitarudi tuu kijijini na utanikosa, mtoto wangu anaumwa daaah kifupi Mnakatisha tamaa wadada na mnatuogopesha sana sisi wazee wa mishe.
nilishawahi kuwa na pisi ya aina hiyo lakini cha ajabu haikurudi kijijini bado iko mjini inakomaa tafajsiri yake kuna madanga mengine yalikuwa nyuma yangu
 
Hivi hiyo mizinga mkiigomea huko mnakoombwa, itakuwaje? Tatizo upande mmoja mnajiwekea mazingira ya kupigwa mzinga, wapigaji wakija mnatuma mjumbe kulalamika...kataeni pesa si zenu?
 
Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.

Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.

Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
Maskini..🥺🥺🥺keshapoteza muelekeo jamani.

Huwezi kumkomboa huko alipo ndugu yangu?🥺🥺🥺
 
Back
Top Bottom