Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo helaπŸ˜‚
Nataka nikuhonge bila kunipiga mizinga nitumie PM namba yako πŸ˜†
Halafu Mimi hata sitangazi wala sianzishi uzi humu JF
 
Mbona mimi huko PM nachat nao na mpaka wengine whatsup number zao ninazo, watatu tumeshawhi kukutana for some discussions. Nilitegemea niombwe na nilikuwa nipo tayari kutoa pesa sikuombwa.
We ulibahatika kukutana na warembo wasio na njaa na wenye stamala (kujishikilia au haya na kujiheshimu)
 

Amina kubwa kubwa
 
Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.

Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.

Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
 
Tatizo huyo kijana ananisumbua sana "nampenda coca nampenda coca mara katoto keupe sijui Nini,ndio namsaidia kukuelezea ili moyo wake uzame mazima na nimempa onyo "bila valentine gifts ya gharama kubwa asikufuate"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…