Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Dahh! Everyday unani-inspire brotha... kwa mwanamke mwenye akili angejua ndo mwanzo wa kufanikiwa kwake financially na angejua kapata mwanaume makini...

vipi ndo wife huyo saiv au ndo aliishia kuwa sikio la kufa? 🤔
 
Mdada aliyepo Dodoma anitafute 😎😎😎😎
 
Ahh! Hakuwa na akili na bila shaka yuko frustrated sasa... si ajabu na ngoma anayo maana CBE na IFM miaka ile ilikuwa moto ingawa wake wema walikuwepo na wapo waliobahatika kuoa na kuolewa na wapo salama kwenye ndoa zao mpaka hivi leo.

Ila hatua ya mwanamke kumuita mzazi/wazazi wako wachawi aisee huyo ni penalty tu na redcard juu moja kwa moja
 
Penalty, redcard, na kifungo juu
 
Kila mtu na namna yake ya utafutaji wew unalima ufuta wengine wanalimia mifukoni kwa watu ndio maisha.

Sion haja ya wew kupata tabu. Na hao wanaoombwa kama hamtaki si unamwambia tu mtu mie sitaki kuombwa hela mnaishia hapo. Sio kwenda kulalamika huko kwenye wine nin sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…