Mimi nakutumia vocha ya 10k tu. Niambie. Mtandao gani halafu kwani kuna ubaya kuni PM namba yako?Labda nikutumie namba ya wakala utoe anipe, lakini utume kwenye namba yangu halafi uwapigie mtandao husika umekosea urudishiwe,,,😂😂nitaambia nini watu?
Ila kambinu makini kakuombeamo namba haka nimekaelewa
Ndugu yangu mie kaskazini girl, Dom mahangaiko tu ya maisha yamenileta miezi michache iliyopita lakini nashangaa taarifa zake zimekuwa nyingi mno ghafla...!😂😂Kumbe na wewe ni wa Dom Dom...
Wote Dom tunatafuta mkate...ila ndo upate presha ya kuhama kisa hizi tuhuma...utakua unatania mrembo 😆 😆 😆Ndugu yangu mie kaskazini girl, Dom mahangaiko tu ya maisha yamenileta miezi michache iliyopita lakini nashangaa taarifa zake zimekuwa nyingi mno ghafla...!😂😂
Sweetheart,Wote Dom tunatafuta mkate...ila ndo upate presha ya kuhama kisa hizi tuhuma...utakua unatania mrembo 😆 😆 😆
Najua watania hahahaaSweetheart,
Am only joking here mama, hata wakisema huyo ni Carleen i won't ever give a f....!!😂😂😂
tchaaah' siwezi enda mahala kisa andazi moja la kuchemsha..!!Najua watania hahahaa
Kiruuuuuu si bora kufa 😆 😆tchaaah' siwezi enda mahala kisa andazi moja la kuchemsha..!!
Haha,Kiruuuuuu si bora kufa 😆 😆
Usiku mwema besty...hahaaHaha,
Eti jamani, si bora 'muninyonge'...!!
Nights too girlie,Usiku mwema besty...hahaa
Acha kuombaombaMbona kama wewe na huyo Dada wa Dodoma mnagombea bwana [emoji2955]
Maisha haya ni bora kuwa mtoaji kuliko mpokeaji.Maneno adhimu
Maneno ghali
Maneno yenye upendo.
Maneno mazuri kutoka kwa mtu mzuri, nmesoma hii koment nmefika katikati nmejikuta nnatabasam heavy sana. Umewekeza upendo, be blessed Chakorii .
Mkuu ulikuwa umelewa nini?ni yupi huyo,namtamani aje kunipiga mzinga
Kwa ruhusa yake mmoja ameniambia niseme hivi.Siyo wote warembo,yeye wa kawaida ana umri wa miaka 33 na ni anafanya pale Airport kukagukagua mizigo.We ulibahatika kukutana na warembo wasio na njaa na wenye stamala (kujishikilia au haya na kujiheshimu)
Thus is a very touching statement. Leo nitamtafuta kaka yake niongee nayeNimeguswa Kwa sababu katika safari yangu ya maisha nilikutana na msamaria akaninyanyua na kubadili historia ya maisha yangu kwa kiwango cha kuweza kumtukuza Mungu.
Naitambua thamani ya msaada Kwa mhitaji.
Ninaroho ya huruma sana buji hususani ninapoona mtu anapitia changamoto za maisha.
Nikiona naweza kumsaidia mtu basi ninafanya hivyo sio Kwa sababu yangu,,hapana ni Kwa sababu ya kusema Asante Kwa Mungu Kwa mema aliyonitendea,kumpa nafasi mhanga ya kuweza kuuona ukuu wa Mungu ndani ya mtu..lakini pia kumkopesha Mungu Kwa ajili ya watoto wangu.
Ninaimani kunakipindi katika hali ya kibinadamu nitashindwa kuombea vizazi vyangu..basi kila sadaka niliyomtolea Mungu Kwa kumgusa moja kwa moja hapo ndipo itakapoweza kuinuka.
Kwa ufupi sana Buji na ninaimani umenielewa.si ndio.
Nimeguswa Kwa sababu katika safari yangu ya maisha nilikutana na msamaria akaninyanyua na kubadili historia ya maisha yangu kwa kiwango cha kuweza kumtukuza Mungu.
Naitambua thamani ya msaada Kwa mhitaji.
Ninaroho ya huruma sana buji hususani ninapoona mtu anapitia changamoto za maisha.
Nikiona naweza kumsaidia mtu basi ninafanya hivyo sio Kwa sababu yangu,,hapana ni Kwa sababu ya kusema Asante Kwa Mungu Kwa mema aliyonitendea,kumpa nafasi mhanga ya kuweza kuuona ukuu wa Mungu ndani ya mtu..lakini pia kumkopesha Mungu Kwa ajili ya watoto wangu.
Ninaimani kunakipindi katika hali ya kibinadamu nitashindwa kuombea vizazi vyangu..basi kila sadaka niliyomtolea Mungu Kwa kumgusa moja kwa moja hapo ndipo itakapoweza kuinuka.
Kwa ufupi sana Buji na ninaimani umenielewa.si ndio.
Hongera zakeKwa ruhusa yake mmoja ameniambia niseme hivi.Siyo wote warembo,yeye wa kawaida ana umri wa miaka 33 na ni anafanya pale Airport kukagukagua mizigo.
Tafadhali mtafute ndugu yangu..fanyika kuwa daraja katika maisha Yake Kwa mara nyingine tena na Mungu atakubariki.Thus is a very touching statement. Leo nitamtafuta kaka yake niongee naye