Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Labda nikutumie namba ya wakala utoe anipe, lakini utume kwenye namba yangu halafi uwapigie mtandao husika umekosea urudishiwe,,,😂😂nitaambia nini watu?


Ila kambinu makini kakuombeamo namba haka nimekaelewa
Mimi nakutumia vocha ya 10k tu. Niambie. Mtandao gani halafu kwani kuna ubaya kuni PM namba yako?
 
Kumbe na wewe ni wa Dom Dom...
Ndugu yangu mie kaskazini girl, Dom mahangaiko tu ya maisha yamenileta miezi michache iliyopita lakini nashangaa taarifa zake zimekuwa nyingi mno ghafla...!😂😂
 
Ndugu yangu mie kaskazini girl, Dom mahangaiko tu ya maisha yamenileta miezi michache iliyopita lakini nashangaa taarifa zake zimekuwa nyingi mno ghafla...!😂😂
Wote Dom tunatafuta mkate...ila ndo upate presha ya kuhama kisa hizi tuhuma...utakua unatania mrembo 😆 😆 😆
 
Maneno adhimu
Maneno ghali
Maneno yenye upendo.
Maneno mazuri kutoka kwa mtu mzuri, nmesoma hii koment nmefika katikati nmejikuta nnatabasam heavy sana. Umewekeza upendo, be blessed Chakorii .
Maisha haya ni bora kuwa mtoaji kuliko mpokeaji.

Amen Half American.

Huu moyo Sijui nimeutolea wapi aise.naweza kumuonea mtu huruma mpaka machozi na kwikwi(hususani nikiwa siko katika nafasi ya kumsaidia 🥹🥹)

Ngoja sasa nikuchekeshe ndugu mmarekani mwenzangu😄😄kuna siku nimepiga vyombo vyangu kiaina..nikakutana na kitoto kidogo kinafanya biashara saa hiyo ni saa tatu na nusu usiku🥹🥹hajala na hajauza biashara zake…aise nililia mnooo..yani nililia sana kuliko kawaida.

Baadae nikaja kujiuliza hivi kwanini nalilia vile?😄😄nikagundua kuwa kumbe nikipiga gambe huwa nashindwa kuuzuia moyo kabisa.

😅😅mie phaller sana.Niko too emotional 🙆‍♀️🙆‍♀️
 
Nimeguswa Kwa sababu katika safari yangu ya maisha nilikutana na msamaria akaninyanyua na kubadili historia ya maisha yangu kwa kiwango cha kuweza kumtukuza Mungu.

Naitambua thamani ya msaada Kwa mhitaji.

Ninaroho ya huruma sana buji hususani ninapoona mtu anapitia changamoto za maisha.

Nikiona naweza kumsaidia mtu basi ninafanya hivyo sio Kwa sababu yangu,,hapana ni Kwa sababu ya kusema Asante Kwa Mungu Kwa mema aliyonitendea,kumpa nafasi mhanga ya kuweza kuuona ukuu wa Mungu ndani ya mtu..lakini pia kumkopesha Mungu Kwa ajili ya watoto wangu.

Ninaimani kunakipindi katika hali ya kibinadamu nitashindwa kuombea vizazi vyangu..basi kila sadaka niliyomtolea Mungu Kwa kumgusa moja kwa moja hapo ndipo itakapoweza kuinuka.

Kwa ufupi sana Buji na ninaimani umenielewa.si ndio.
Thus is a very touching statement. Leo nitamtafuta kaka yake niongee naye
 
Nimeguswa Kwa sababu katika safari yangu ya maisha nilikutana na msamaria akaninyanyua na kubadili historia ya maisha yangu kwa kiwango cha kuweza kumtukuza Mungu.

Naitambua thamani ya msaada Kwa mhitaji.

Ninaroho ya huruma sana buji hususani ninapoona mtu anapitia changamoto za maisha.

Nikiona naweza kumsaidia mtu basi ninafanya hivyo sio Kwa sababu yangu,,hapana ni Kwa sababu ya kusema Asante Kwa Mungu Kwa mema aliyonitendea,kumpa nafasi mhanga ya kuweza kuuona ukuu wa Mungu ndani ya mtu..lakini pia kumkopesha Mungu Kwa ajili ya watoto wangu.

Ninaimani kunakipindi katika hali ya kibinadamu nitashindwa kuombea vizazi vyangu..basi kila sadaka niliyomtolea Mungu Kwa kumgusa moja kwa moja hapo ndipo itakapoweza kuinuka.

Kwa ufupi sana Buji na ninaimani umenielewa.si ndio.
IMG-20230111-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom