Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Nawaoneeni huruma sana
 
Wewe ni wife material kabisa wallah..!
Ujengewe sanamu la kumbukumbu mlima Kilimanjaro.

Ila kwa bahati mbaya mara nyingi wanawake wingi mnakomaa kiakii wakati umri umekwenda, unakuta hata angani huendi tena.
I'm just 41. Nilianza biashara nikiwa ni ngali mdogo. Nimesha kuwa na dogs farm, nimefuga hadi nyuma sumu nikawa nauza nje hadi pale Corona ilipo strike.

Sasa nalima ufuta
 
 
Kuna muda unakutana na mdada mnajenga urafiki kabisa nakuwa naona huyu kwenye kazi zangu atanifaa ngoja niweke mambo Sawa kisha nitakaa nae mezani tuyajenge daaahh kabla hata ya kufka point ataanza kuomba omba pesa bila ya mpangilio kutaanza. Mara sijui mama mgonjwa, kodi inaisha nitarudi tuu kijijini na utanikosa, mtoto wangu anaumwa daaah kifupi Mnakatisha tamaa wadada na mnatuogopesha sana sisi wazee wa mishe.
 
Mimi juzi kuna yupo aliniomba 1000, nikamuuliza ya nini ,kasema ,
Ya kununulia mkaaa.

Kuna wanawake wanatia kichechefu balaa ,skujui hunijui unaomba 1000, alafu social media yupo active muda mwingi, hiii tabia sio nzuri ni kama kujidhalilisha tu.

Huyu mwanamke nilimnyima ni kama kumdekeza bila sababu, ndo kwanza januari.
 
Duh [emoji846]
Aisee wakati mwingine inabidi wajifunze kuvumilia kwa sababu hakuna jambo linalodumu.
 
Wadada left the chat🤣🤣🤣
Na nyie wababa msiombe mbususu🤣

Ila kuna wenzetu aisee ni kama viwete mtu anaomba elfu tatu. Jamani af tatu kweli? Nlivojitolea kuwatetea ila hapana kwa hili namimi nakaa pembeni. Mdada anacheza michezo na hana kazi. Ikifika siku ya rejesho keshategesha vizinga kama tisa hivi kote anaomba af mbili mbili aibu naonaga mimi
 
Aisee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…