Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
dear, dear, dear nimekuita mara 3!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em achaaa hizo.
Cocaa Cocaa Cocaa Cocaaa nimekuita mara 4 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama unapiga mizinga achaaaa, mpaka akupe mwenyewe. Mwenzako siombi hela ya mwanaume shauri zako. cocastic
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekuchaaaaaa!!! Wadada wa mwanza wameachwa wapumue sasa. Lol

JF ni pori sio kichaka tena. Uwiiii

Kwa sasa tunadeal na kanda ya kati baada ya hapo tunaruka hadi songea, mbinga, maji maji, mbambabay hadi manda na ruanda ili waseme kisa cha kutokula ugali na mchicha ni nini hadi watake mberere na mbufu,
 
Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga

Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi

[emoji706][emoji706]
Awaleteee hapa harakaa sanaaa.
 
We kichwa jibu pm, au unaogopa vizinga? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ndo ningekua mie, wallah ningetajwwaa hapa wazi wazi.

Ila napenda kupiga mizinga, tatizo cna nyotaa ya kupewaaa.
Em nisaidiee mwayaa kusafishaaa nyotaaa. Afu wee ulipoteleaa wapi?
 
Cocaa Cocaa Cocaa Cocaaa nimekuita mara 4 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama unapiga mizinga achaaaa, mpaka akupe mwenyewe. Mwenzako siombi hela ya mwanaume shauri zako. cocastic
Dear tatizo nyotaaaa, hatufanan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nalimia kipande cha Nachingwea we unalimia wapi mama
 
Kwa sasa tunadeal na kanda ya kati baada ya hapo tunaruka hadi songea, mbinga, maji maji, mbambabay hadi manda na ruanda ili waseme kisa cha kutokula ugali na mchicha ni nini hadi watake mberere na mbufu,
Hapooo songea hapo mtutoe, tushazoeaa shida siee, mlenda na ugali kwetuuu safiii sio shda zetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…