Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

HV kumbee kweli watu Wana tabia hzo mm nilidhani utani tu kwa mleta mada

Ungembinua vzr kwanza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama anawaomba hawakabi na wanatoa wenyewe, mwache aendelee kutunyoosha tu..alafu umesema kipochi hatoi? Huyo smart sana. Hiyo ni ajira kama ajira ingine.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ndo ningekua mie, wallah ningetajwwaa hapa wazi wazi.

Ila napenda kupiga mizinga, tatizo cna nyotaa ya kupewaaa.
Em nisaidiee mwayaa kusafishaaa nyotaaa. Afu wee ulipoteleaa wapi?
Weye tena!!!😂😂😂 we itakua unapiga vya nauli ya Dubai😂 omba buku buku kwa wana jf 50 hukosi elfu 30😂😂😂

Mie npo mwaya sema majukumu yalinizidia... Ila npo sanaaa nachungulia majukwaa Mara kadhaa Ila Ku comment ndio mpaka niwe nimepata vile vitu vyangu😂😂😂
 
Wee ni mwanamke halisi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
supa womani💪💪💪🤣🤣🤣🤣hujawahi kumpiga mtu kizinga pm kweli wewe?🤣🤣🤣
 
Vile vitu vyako mbna niliweka viwili, kachunguliee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie huwa nataka vocha vocha ila sipatiii.
 
Vile vitu vyako mbna niliweka viwili, kachunguliee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie huwa nataka vocha vocha ila sipatiii.
We mwana we!!! Hebu nenda kanitag!!!

Wala usiteseke.. Njoo pm uniombe vocha!
 
Sasa hivi ndio nimeiona huu ujumbe.

Aise kumbe mambo ni mengi huko piemuni ee
 
We mwana we!!! Hebu nenda kanitag!!!

Wala usiteseke.. Njoo pm uniombe vocha!
Sasa kaniwekee kulee si ushajua natakaa vochaa mwayaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…