To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂😂😂hakuna,wanaomba denda tu😘Mkorofi wewe,hivi kwanza hujo PM yako hamna kijeba kinakuomba pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂hakuna,wanaomba denda tu😘Mkorofi wewe,hivi kwanza hujo PM yako hamna kijeba kinakuomba pesa?
hahahahahaUkiombwa milioni tano au kumi utatoa?
Nanyie muwe mnajiongeza sio mpka uombwe
hahahahahaAcheni hizo basi tupeni hizo fweza.ninaweza kupata 50,000 hapo mkuu
uzi gani huo mwamba? humu si hairuhusiwi kutuma picha binafsi au me ndo npo kijiji gan?sema mtandao huu una vinyau vingi acha viliwe.sasa kimtu unakihonga elf 50 kinakubali🤣🤣ngoja viliwe.ila pointi yangu nikwambaa ukiona unakula demu humu usijisifie Mana nitakataka sura zenyewe mbovu.🤣🤣Kuna uzi wanarushiana picha zao niliuona juzi aisee mademu wanao rusha picha zao niwabovu hatariii🤣🤣🤣halafu unakuta wenyewe wanna sifiana like...waooooo mswetiiii umependeza🤣🤣🤣ila kusema ukweli niwabovu 🤣ila wenye ugumu wanaishi nao nakuhonga wanna honga...
🤣🤣🤣aloo unamisimamo😍sio poaKuchakaa sio rahisi ila mali ya mtu hailiwiii kabisa.
hahahahahasema mtandao huu una vinyau vingi acha viliwe.sasa kimtu unakihonga elf 50 kinakubali🤣🤣ngoja viliwe.ila pointi yangu nikwambaa ukiona unakula demu humu usijisifie Mana nitakataka sura zenyewe mbovu.🤣🤣Kuna uzi wanarushiana picha zao niliuona juzi aisee mademu wanao rusha picha zao niwabovu hatariii🤣🤣🤣halafu unakuta wenyewe wanna sifiana like...waooooo mswetiiii umependeza🤣🤣🤣ila kusema ukweli niwabovu 🤣ila wenye ugumu wanaishi nao nakuhonga wanna honga...
chiti chatiuzi gani huo mwamba? humu si hairuhusiwi kutuma picha binafsi au me ndo npo kijiji gan?
🤣🤣🤣🤣mkuu nakuona.hunaga mabo mengi kabisa🤣🤣🤣hahahahaha
Eti vinyau acha viliwe
Kuwa makini wasikufungulie uzi wa kukukula kimasihara tu.😅😂😂😂hakuna,wanaomba denda tu😘
hahaha,unataka ukavione asemavyouzi gani huo mwamba? humu si hairuhusiwi kutuma picha binafsi au me ndo npo kijiji gan?
Sasa nitakuombaje 5 million nikanunue wigi?kwanza Niko na short hair.ni biashara mkuuMpaka kuja kukupa hiyo hela, umekuja na proposal mezani tumejadili na nimeona inakuwa implemented.
Natoa bila tatizo ila sio kwa mwanamke wa nje.
hahahaha,mambo mengi ya nn,mie msomaji tu🤣🤣🤣🤣mkuu nakuona.hunaga mabo mengi kabisa🤣🤣🤣
😀 curiosity killed the cat,hahaha,unataka ukavione asemavyo
hahahahaha😀 curiosity killed the cat,
asee naenda kuwasakua.. uzuri hela zoote zimeishia kwnye ada na kodi, sina cha kupoteza
Hivi nikikuomba unitoe dinner nitakuwa nimekupiga mzinga?🫣🫣Inazidi kunyesha tu, lazima matobo yaonekane. Ukiombwa kama unacho wewe toa tu, kama huna basi tena. Kama haridhiki na kidogo acha kumpa.
🤣🤣🤣🤣🤣vinyau hulagi humuhahahaha,mambo mengi ya nn,mie msomaji tu