Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

sema mtandao huu una vinyau vingi acha viliwe.sasa kimtu unakihonga elf 50 kinakubali🤣🤣ngoja viliwe.ila pointi yangu nikwambaa ukiona unakula demu humu usijisifie Mana nitakataka sura zenyewe mbovu.🤣🤣Kuna uzi wanarushiana picha zao niliuona juzi aisee mademu wanao rusha picha zao niwabovu hatariii🤣🤣🤣halafu unakuta wenyewe wanna sifiana like...waooooo mswetiiii umependeza🤣🤣🤣ila kusema ukweli niwabovu 🤣ila wenye ugumu wanaishi nao nakuhonga wanna honga...
uzi gani huo mwamba? humu si hairuhusiwi kutuma picha binafsi au me ndo npo kijiji gan?
 
sema mtandao huu una vinyau vingi acha viliwe.sasa kimtu unakihonga elf 50 kinakubali🤣🤣ngoja viliwe.ila pointi yangu nikwambaa ukiona unakula demu humu usijisifie Mana nitakataka sura zenyewe mbovu.🤣🤣Kuna uzi wanarushiana picha zao niliuona juzi aisee mademu wanao rusha picha zao niwabovu hatariii🤣🤣🤣halafu unakuta wenyewe wanna sifiana like...waooooo mswetiiii umependeza🤣🤣🤣ila kusema ukweli niwabovu 🤣ila wenye ugumu wanaishi nao nakuhonga wanna honga...
hahahahaha

Eti vinyau acha viliwe
 
Inazidi kunyesha tu, lazima matobo yaonekane. Ukiombwa kama unacho wewe toa tu, kama huna basi tena. Kama haridhiki na kidogo acha kumpa.
Hivi nikikuomba unitoe dinner nitakuwa nimekupiga mzinga?🫣🫣
 
Back
Top Bottom