Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
πππππNilitaka nijibu ila una bahati, dada ako amecomment chini ya hii comment yakoππ.
Like C'ssy, Like daughter..!!
Sijamuona wifi kabisa ujue...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππNilitaka nijibu ila una bahati, dada ako amecomment chini ya hii comment yakoππ.
Wapo sana babu G sema huwezi kuwafahamu mpka utakapokaa nao muda mrefu au ukimuangalia Kwa jicho la tatu ndipo utamjuaSiku hizi kuwapata wale Mwanamuzi Ne-Yo aliwaimba "Miss Independent" imekuwa vigumu mno
kuna mmoja aliniazima elfu 30 nkampaa aisee geto hataki kuja kazi kujiongelesha tu ooh sijui im honest to my boy sijui nyoko nyoko nkampotezea siku kama mbili hapo hata kumeet hataki kakasema labda tukutane m.city nkatoka nako nkakanunulia vitu kadhaa kama 70k hivi... aiseee tunarudi nkawambie akapajue nnapoishi aligoma kata kataaa kesho asubuhi naona msg et1 sorry nina shida ya 50k...mmkee kama nlijibuu sasa. π πWanakuaga na mizinga mirefu afadhali anaeomba buku mbili
Atakuja tuππππππ
Like C'ssy, Like daughter..!!
Sijamuona wifi kabisa ujue...!!
Lakini kwani watu wa dodoma kosa letu ni nini, mxiiiiiiieeeeeeew'...!!Atakuja tuπ
Dah kumbe tupo wengi tunaipigwa mizinga na huyu demu wa Dodoma......Najuta sana kumpa namba yangu ya simu.....ila ni katamu balaaJana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.
Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.
Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.
Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.
Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.
Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.
Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.
2023 tubadilikeni jamani
Siwezi kuingia mtegoni mbele ya watu wengi hivi,π€ͺ.Lakini kwani watu wa dodoma kosa letu ni nini, mxiiiiiiieeeeeeew'...!!
Dodoma ni omba omba by natureLakini kwani watu wa dodoma kosa letu ni nini, mxiiiiiiieeeeeeew'...!!
Na harudishi ukimdai anakublock [emoji2][emoji2][emoji2]Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga
Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi
[emoji706][emoji706]
Hivyo hata kama wa kuja ukiishi tu Makao Makuu unaanza kuwa omba omba..??Dodoma ni omba omba by nature
Kuna mdau kanisaidia kujibu, eti nyie ni omba-omba by natureπ.Lakini kwani watu wa dodoma kosa letu ni nini, mxiiiiiiieeeeeeew'...!!
Tumuulize OKW BOBAN SUNZU anawafata pm anataka nini? Si ili apigwe mizinga? Asilalamike si asalimie hapahapa jukwaani πππππ
Najua pa kukushika,Siwezi kuingia mtegoni mbele ya watu wengi hivi,π€ͺ.
ππππKuna mdau kanisaidia kujibu, eti nyie ni omba-omba by natureπ.
[emoji23]kuna mmoja aliniazima elfu 30 nkampaa aisee geto hataki kuja kazi kujiongelesha tu ooh sijui im honest to my boy sijui nyoko nyoko nkampotezea siku kama mbili hapo hata kumeet hataki kakasema labda tukutane m.city nkatoka nako nkakanunulia vitu kadhaa kama 70k hivi... aiseee tunarudi nkawambie akapajue nnapoishi aligoma kata kataaa kesho asubuhi naona msg et1 sorry nina shida ya 50k...mmkee kama nlijibuu sasa. π π
Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga
Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi
[emoji706][emoji706]
Huko kote umekuja vizuri, hapo mwishoni tu ndiyo ukajaa..! Mwanaume halisi..!Dah kumbe tupo wengi tunaipigwa mizinga na huyu demu wa Dodoma......Najuta sana kumpa namba yangu ya simu.....ila ni katamu balaa
Upo Dodoma au haupo?ππππ
Ukisema 'nyie' unakosea, siamini umenijumuisha..!!