Wadada wa Dar na Visigino vyao

Kwl kabsa nmeshakutananao kama wawili wako hvo visigino vichaf vingumu kama mbao yaan unaweza kunia nazi kabsa 😅
All in all karbun saluni kwangu niwasugue miguu mpendeze miguu iwe milaini nipo zangu Hapa Boko Basihaya nawasubr
Kumbe mtaalamu upo humuhumu?Ila acheni kuchungulia vyupi vya wadada
 

Ukutane na mwanamke wa uswahilini kajichubua,duuh miguu imekaa kama jini viunga vya vidole vyeusiiii tiii. Kusema kweli wana kata stimu sana.
 
Wadada jitahidini zamani wenzenu wamama walikuwa na jiwe la kusugulia visigino siku hizi wanaotoa huduma za pedicure wamejaa tele. Mwanamke akiwa na miguu misafi isiyo na gaga wala sugu anavutia sana
Kweli,,Yale mawe ya kina mama mpaka Leo yanauzwa sokoni buku tu,wanayatoa mto gani sijui huko...yaani Kama hamna pesa ya pedicures tuwe na majiwe ndani
 
Kweli,,Yale mawe ya kina mama mpaka Leo yanauzwa sokoni buku tu,wanayatoa mto gani sijui huko...yaani Kama hamna pesa ya pedicures tuwe na majiwe ndani
Buku inawashinda nyie wadada kweli😲😲😲
 
Si
Sisi tulifundishwa kunawa miguu nje kwa kuisugua sawasawa na kuosha ndala zetu za umoja enzi hizo kama sio bata ndo uende kuoga, naona itaratibu huu ni mzuri huezi kuta miguu iko hovyo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…