Wadada wa Dar na Visigino vyao

Picha za viazi choma zikwapi
 
Eeeeh hao Tena wapya sijakutana nao
Kuna sehemu nilienda kuangalia mgonjwa. Kulikuwa na sitting room za kiarabu (za kukaa chini, kuegemea mito). Aliingia binti mmoja mrembo hasa. Ila alipokuja kukaa na kunyoosha miguu ule uvundo uliotoka hapo ni Mungu tu ndio anajua. Haikujalisha kulikuwa na a/c na harufu ya oud.

Huyo ni mfano tu mmoja lakini wape kina dada wengi hasa wanaoshinda na viatu vya kufunika siku nzima huwa wananuka miguu mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…