Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Nawaza hivyo pia ama kuna watu wanawaweka mjini ,,,, ! Haiingii akilini frem mtu alipe 2.m au 1.5m tena mwaka akauze pochi 10, vichupi kadhaa na bra ! Haimlipi hata kidogo
Umewaza katika angle ya mabaya sometimes watu hawana biashara moja tu kuna watu wamewekeza katika kilimo au real estate mikoani na wanapata pesa nyingi tu kwa kumtazama unaweza kufikiria kuwa anapata pesa kupitia kuuza poda ama K na duka ni kiini macho
 
😂
Kuna mmoja anauza mahitaji ya nyumbani Hapo tabata side ya kitamba cheupe yani apo uki jumlisha vitu vyote imezid sana ni Laki 5

Sasa Uyo dem ana tumia iphone 15😂


ni ana shape balaa😂🤣 unaweza enda kununua pipi ukajikuta hubebi chenji
 
Hahahahaha….hatari Mkuu…ungeacha mtaji hapo..
 
Au labda ni majini , ninyi mnaona ni watu kumbe ni vibwengo flani wanahudumia ulimwengu usionekana kwa macho ya kawaida
Hii kwa Dar hata mimi nimeshuhudia sana na nikakosa majibu kabisa
😂😂😂😂
 
Weee hujui? Zaidi ya biashara, Yeye ana tobo na tigo! Wewe una nini?
 
Madanga zao ndio watanunua
Sidhani kama ni Madanga tu au madawa ya kulevya ,kuna kitu cha siri cha ziada kinafanyika kwenye hivyo vifremu
Madawa yenyewe wabongo wangapi wanapesa ya kuhimili addiction ya madawa narcotics na yalivyo expensive ,?
Madanga wangapi wana pesa ya kuhonga na kuwafanya watu wawe na life style kama hiyo Tz hapa ?
Jibu ni no
 
Kuna mwanangu mmoja amesomea Computer science sasa anafanya kazi online akiwa home. Ila kaajiriwa 🇺🇸 sasa wana mtaani wanamsema kuwa muuza ngada sijui anafuga majini waswahili akili zao kama tumbili wakiwa maskini.

Mwanangu anaingiza $75,000 kwa mwaka sasa unataka akae kijiweni na watu wasio na njia ya maisha.

Hao wenye maduka wasio na bidhaa wengi wao wahindi sababu anakimbia kodi kubwa. TRĄ wakiona mzigo umejaa dukani kodi yako lazima iwepo juu.

Ishi mjini kwa akili kubwa usiishi mjini ukajifanya wewe babkubwa.
 
MIMI JAPO KUWA NA NAKAZI ZANGU ILA NA ROBOT LA FOREX AMBALO MDA WOTE LIPO SOKONI KWA MWEZI KUNIPA USD 750 MPAKA 350 NI KAWAIDA.SASA WENZANGU WANASHANGAA HUYU JAMAA PESA ZA POMBE NA SAFARI ANATOA WAPI.

DUNIA INAMAMBO MENGI
 
Ukweli unauma ila unaponya. Hapa ilitakiwa "IRS" ya bongo ihusike kufuatilia hizi mambo, lakini wadau hususan wahusika wanaona ni kama kufuatiliana hivi😀😀😀

Wadau wengine wametaja money laundering, ila mi najua kuna biashara kongwe inaendelea ndani ya hizo biashara.

Kuna kamanzi tunapiga nacho mishe, kalinionyesha chats zake na rafiki yake wa kike mmoja wa wamiliki wa hizo fremu, nikasema duuuh!!!!

Hatusemi wote wanafanya money laundering au biashara kongwe, ila wapo wanaozugia hizo fremu hapa town.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…