Wadada wamezidi kuomba pesa

Hivi viumbe vimekuwa omba omba mnoo, yani text ya salam mbele kiboom! Too much imekuwa. Na wako na style mpya nowdays mtu anakutumia namba ya kutuma pesa aseee!
Kuna manzi kadhaa walinipiga viboom nikaona sio kesi nikawaambie watafute mtaji wa 5k niwape odds wabet[emoji16][emoji16] hakuna namna pesa kutoa bila nidhamu ni ujinga na uzembe.
 
tatizo hawataki kukaa kijijini wakalime;huna hela ya kodi unapanga nyumba ya kazi gani?
Mkuu wanakuwa na hela ukichunguza utakuta anafanya kazi ila mshahara wake hataki utumike, kwaiyo anacho kifanya ni kujigeuza Matonya tu. Sijui pesa zao wana famyiaga nini utakuta miaka nenda miaka rudi hawafanya chochote cha maana zaidi ya kuvaa tu, wakipata pesa ata wazo la kuanzisha biashara hawana.
 
Kaka unaakili mingi mno
Acha kusiliza maneno ya watu. Wewe piga puli pumbu ziwe empty kabisa yaani zikauke. Fedha yako uitunze ufanyie mambo ya maana. Hapo unakuta unamaliza pesa yako uliyoitafuta kwa shida na taabu kisa na mkasa TAKO KUBWA 😂😂😂. We piga puli, mpaka ukauke kabisa. Halafu tunza pesa.




Ohooooooo!Usidanganywe na watu wa mitandaoni. Humu jf kila mtu tajiri na anayo kazi mshahara milioni 30 kwa mwezi. Wachovu ni mimi na wewe tu. 😂😂😂
 
tatizo hawataki kukaa kijijini wakalime;huna hela ya kodi unapanga nyumba ya kazi gani?
Wanaishije pekee yao na umri wa kuolewa umeshafika. Tatizo wao wanahisi kuolewa ni kifungo na ni sumu ya maisha yao. Ila kuliwa hovyo wanaona ni ujanja. Wakifika miaka 35 and above wakishachuja wanaanza kulazimisha ndoa kwa nguvu.

Hiki kizazi cha wanawake sijui nuksi kiliambukizwa na nani maana huko mbeleni tutakuwa na wasimbe wengi kuliko wake za watu.
 
Utasikia wanaume mnatakiwa kutupa, mliambiwa mtakula kwa jasho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • Screenshot_20221116-222805.jpg
    80.5 KB · Views: 3
Sasa huyo sio mtu wang
 
Mbona chatting zenu hazieleweki?
 
Mpigieni kura binti huyu ili akikua asiwe mdada ombaomba

Tafadhali mpigie Kura Sharon Ringo! Huyu binti ni mdogo (miaka 13) lakini anafanya mambo makubwa, tena ni mfano bora sana kwa watoto wetu! Champion wa Climate change na East Africa Tourist ambassador. Kwa kweli tum support kwa kumpigia kura nyingi alete hii tuzo nyumbani! Unaweza kupiga kura mara nyingi kadri uwezavyo na pia mzalendo share hii taarifa na link!

Vote for SHARON RINGO*
 
Daah mbona hata dada wa watu hana makuu? Afu mbili wakuu?
Hadi Maji kaomba hapo tena kuuziwa Yan hana makuu kabisa

Mleta uzi sijui apewe Nini kingine,kapewq wa size ya buku 2 na ndoo ya Maji bado kamfungulia uzi hapa ,je akipewa wa laki 1 si atambandika matangazo mtaa mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…