Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Hivi viumbe vimekuwa omba omba mnoo, yani text ya salam mbele kiboom! Too much imekuwa. Na wako na style mpya nowdays mtu anakutumia namba ya kutuma pesa aseee!
Kuna manzi kadhaa walinipiga viboom nikaona sio kesi nikawaambie watafute mtaji wa 5k niwape odds wabet[emoji16][emoji16] hakuna namna pesa kutoa bila nidhamu ni ujinga na uzembe.
Kuna manzi kadhaa walinipiga viboom nikaona sio kesi nikawaambie watafute mtaji wa 5k niwape odds wabet[emoji16][emoji16] hakuna namna pesa kutoa bila nidhamu ni ujinga na uzembe.