Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Omba mungu upate fungu lako!!Kuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.
Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio wasomi. Nina nia ya kuanzisha mahusiano yenye hatima ya kuoana lakini bado Kuna Tatizo kwa wasomi wajinga
Na hii tiketi ya kuwapekuwa pants wadada wa kazi kwa uhuru wetu![emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.
Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.
Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.
Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.
Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.
Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Mwanamke kufanya kazi za nyumbani inategemea na malezi aliyo lelewa na siyo sababu ya kuajiriwa au Mama wa nyumbani .Umemaliza kila kitu ,, na unaweza oa mama wa nyumbani kama tangu kwao alikuwa mvivu hutaweza kumbadilisha kitu
Hiiii bhagoshaa!.Hapa ndipo 50/50 huwa inagoma kuingia kichwani. Mwanamke kapewa access ya elimu, ajira, kuzalisha na kumiliki mali sasa kwanini jukumu la kumtunza libaki kwa mwanaume?. Lazima kimoja kiondolewe kama tukiweka usawa basi mwanaume aondolewe ilo jukumu la kumtunza mwanamke au tukitaka mwanaume awajibike kumtunza mwanaume basi mwanamke aondolewe haki ya kupata elimu ya juu, kumiliki/kuzalisha mali na kupata ajira, izo haki apewe mwanaume tu ili aweze kutimiza jukumu la kumtunza mwanamke.
Kweli kabisa . Ukiwa na akili za kuvukia barabara huwezi ishi na mwanamke yeyote. Asidhani kuoa wa kijijini ndio ataepuka changamoto, ahh wapiApataye mke apata kitu chema nae ajipatia kibali kwa Bwana. Ukiwa na akili, utaishi vizuri sana na mwanamke version yoyote ile. Mungu akupe subra.
ujinga uko katika njia nyingi, achana nae huyo anajiona yeye wa mjini ndiyo mjanja ati wa vijijini ndiyo wajinga. Asubiri tu apewe funzo la kutosha na hao anaowaita wajinga.Hao kijijini hawana changamoto ulizoorodhesha hapo?et rafiki
(Dharau &kuleta stress)
.
Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.
Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Pole sanaKuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.
Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio wasomi. Nina nia ya kuanzisha mahusiano yenye hatima ya kuoana lakini bado Kuna Tatizo kwa wasomi wajinga
🤣🤣Pole kumbe ulioa muumini wa 50/50Sidhani. Ila hii mifala ya mjini ambayo inadhani ina elimu kichwani kumbe ni zero, inang'ang'ania usawa wa kijinsia na wakati huo huo wanataka kuhudumiwa Kama wagonjwa, wanakera Sana. Silaha yao kubwa ni hayo makalio yaliyovunda
50/50 kwenye maeneo yote mwanamke anakubali ila ikigusa kwenye hela yake hapo ndipo anakuwa mbogo.Hapa ndipo 50/50 huwa inagoma kuingia kichwani. Mwanamke kapewa access ya elimu, ajira, kuzalisha na kumiliki mali sasa kwanini jukumu la kumtunza libaki kwa mwanaume?. Lazima kimoja kiondolewe kama tukiweka usawa basi mwanaume aondolewe ilo jukumu la kumtunza mwanamke au tukitaka mwanaume awajibike kumtunza mwanaume basi mwanamke aondolewe haki ya kupata elimu ya juu, kumiliki/kuzalisha mali na kupata ajira, izo haki apewe mwanaume tu ili aweze kutimiza jukumu la kumtunza mwmwanamke.
50/50 hata ulaya ilipo anzia wenyewe imekuwa ngumu kutekelezwa na ndio maana idadi wanao oa ulaya inapungua kwa kasi,talaka zipi za kutosha. Wanawake wanakipigania wasicho kijua.Mkuu 50/50 wanayo Wazungu wao kwenye kipindi cha uchumba kila mtu ana tumia pesa zake, kwenye ndoa hakuna ubinafsi kila senti inajulikana matumizi yake haijalishi pesa za mume wala za mke.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Umesema mwanamke yupo "hoi bin taabani...." sasa hapo unamt*mba vipi....... na huo mda wa kuzaa nae anaupata wapi?Mkuu umeeleza vizuri sana vijana inabidi wachague.
Yaani Mama Msomi mwenye kazi anashinda kazini anarudi kachoka hoi bin taabani.
Sasa unataka akutandikie kitanda, akufurie nguo, akupikie chakula kizuri, afanye usafi wa ndani na mkae mezani mtazame Tv kwa mahaba huku kachoka?
Haiwezekani. Then baadae pesa yake nayo tena unataka mgawane?
Hapa utaishia kulalamika na kuona kuwa Mke ana dharau wala sio kweli.
**** wale wanauma wanaoa mwanamke Msomi wakitarajia kwamba watasaidiana majukumu ya nyumbani na uchumi.......huu ni uvivu wa kufikiri na ndio wanakuja na nyuzi za kutukana wanawake.
Mwanamke ni wa kuto*** tu na kukuzalia watoto na kupamba nyumba yako.
Makujumu mengine ni yako mwanaume.
Usipotambua hili lazima uje na Kauli ya KATAA NDOA.
Sasa akiwa hoi usitegemee hata kitomb* cha uhakikaUmesema mwanamke yupo "hoi bin taabani...." sasa hapo unamt*mba vipi....... na huo mda wa kuzaa nae unaupata wapi?
Ukitaka ndoa yako itoboe Rudi kwenye old school way za sheria za ndoa ila hizi modern style, ndoa lazima ivunjike,ulaya huko CNN walilipoti juzi ndoa zimepingua kwa zaidi ya asilimia 50 na hizo zinazo baki 70% huishia kwenye talaka,20% wale walio amua kuishi sababu ya watoto, 10% ndio wanaishi kwa amani na upendo.
Ha ha ha....mkuu unatoa povu Kali mno[emoji28]Sidhani. Ila hii mifala ya mjini ambayo inadhani ina elimu kichwani kumbe ni zero, inang'ang'ania usawa wa kijinsia na wakati huo huo wanataka kuhudumiwa Kama wagonjwa, wanakera Sana. Silaha yao kubwa ni hayo makalio yaliyovunda
Tujipongeze tulio oa kina aishi manula[emoji4]Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.
Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.
Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.
Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.
Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.
Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Wabongo kwenye uchumba ni mizinga heavy, afu Ni non-stop mpk akil ikukae sawa.Mkuu 50/50 wanayo Wazungu wao kwenye kipindi cha uchumba kila mtu ana tumia pesa zake, kwenye ndoa hakuna ubinafsi kila senti inajulikana matumizi yake haijalishi pesa za mume wala za mke.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app