Wadada wasomi ni wasumbufu alafu Wana mchango mdogo Sana kwenye mahusiano/ndoa

Wadada wasomi ni wasumbufu alafu Wana mchango mdogo Sana kwenye mahusiano/ndoa

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Kuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.

Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio wasomi. Nina nia ya kuanzisha mahusiano yenye hatima ya kuoana lakini bado Kuna Tatizo kwa wasomi wajinga
 
Hao kijijini hawana changamoto ulizoorodhesha hapo?et rafiki

(Dharau &kuleta stress)
Sidhani. Ila hii mifala ya mjini ambayo inadhani ina elimu kichwani kumbe ni zero, inang'ang'ania usawa wa kijinsia na wakati huo huo wanataka kuhudumiwa Kama wagonjwa, wanakera Sana. Silaha yao kubwa ni hayo makalio yaliyovunda
 
Sidhani. Ila hii mifala ya mjini ambayo inadhani ina elimu kichwani kumbe ni zero, inang'ang'ania usawa wa kijinsia na wakati huo huo wanataka kuhudumiwa Kama wagonjwa, wanakera Sana
Nafikiri kila mwanamke/mwanaume ana changamoto zake,endelea kutafuta ambaye changamoto zake unaweza ku handle...

There's no a perfect r/ship or marriage because it is made of imperfect people..
 
Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.

Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.

Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.

Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.

Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.

Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
 
Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.

Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.

Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.

Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.

Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.

Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Kama tutashirikiana majukumu uliyoyataja kwanini hatushirikiani majukumu ya Maendeleo(financial decisions). Yaani mshahara wake haununui hata chumvi lakini anataka usawa..?!
 
Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.

Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.

Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.

Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.

Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.

Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Lucha soma huu mtazamo wa iMind
 
Kuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.

Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio wasomi. Nina nia ya kuanzisha mahusiano yenye hatima ya kuoana lakini bado Kuna Tatizo kwa wasomi wajinga
Pole kaka, umeandika Kwa maumivu makali sana.
 
Kama tutashirikiana majukumu uliyoyataja kwanini hatushirikiani majukumu ya Maendeleo(financial decisions). Yaani mshahara wake haununui hata chumvi lakini anataka usawa..?!
Hapa ndipo 50/50 huwa inagoma kuingia kichwani. Mwanamke kapewa access ya elimu, ajira, kuzalisha na kumiliki mali sasa kwanini jukumu la kumtunza libaki kwa mwanaume?. Lazima kimoja kiondolewe kama tukiweka usawa basi mwanaume aondolewe ilo jukumu la kumtunza mwanamke au tukitaka mwanaume awajibike kumtunza mwanaume basi mwanamke aondolewe haki ya kupata elimu ya juu, kumiliki/kuzalisha mali na kupata ajira, izo haki apewe mwanaume tu ili aweze kutimiza jukumu la kumtunza mwanamke.
 
Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.

Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.

Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.

Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.

Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.

Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.

Hapa wengi wanahitaji kufundishwa chakufanya.
Wanaume wengi wana elimu wa kuishi na wanawake wajinga na wasiojishughulisha.
 
Back
Top Bottom