Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa masista duuuh Mimi wananielewa unakuta kashindwa kitu kidogo kakuita njoo unirekebishie ili kutengeneza ukaribu wa kunipiga namwambia sikia nikija unanilipa hutaki tafuta Fundi akurekebishie utasikia basi njoo arekebishe ntakulipa Mwanaume narekebisha haya weka 5k hapo kwenye muamala anaweka Mimi huyooo sicheki na nyani my life means business tusileteane uremboNaam
Hawajui kua Hela inatafutwa wanafikiri inaokotwaWanaomtupia mawe mleta mada kwani chakula sio hela hiyo?...JF bhana
Nmecheka Sana chalii😅😅😅Huyu baharia kafeli, kama huwez kuhonga hata ugali dagaa, achana nao
Muhun azivuta back and front free fulee 😅😅Usijenge ukaribu huo utachezea za mbavu mpaka uelewe unaletewa zile za nataka nikasuke rasta zinauzwa 15k Pesa za kusikia rasta 20k na usafiri wa kufika kwa msusi 10k usisahau kutumia na ya kutolea
Sasa balaa hizo rasta akishasuka kuna Muhuni anaenda kuzivutavuta na hajachangia hata Mia mbovu
Anavuta mpaka zinavutika na hapo hajachangia hata 200 mbovu kuna Boya 1 tu huko limetoa hela ya rasta Muhuni anavuta rasta km alitoa Hela ya kusukiaMuhun azivuta back and front free fulee 😅😅
Wanawake mie nashindwa elewa kwa kweli yaani wanajua kitu mwanaume tanataka na sie tunajua wanachotaka sii tupeane tuu bila mambo mengi. Why make life difficult jameniHello,
Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.
Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.
Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.
Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.
Be wise,
Stay putinized.
Narudia tenaUsijenge ukaribu huo utachezea za mbavu mpaka uelewe unaletewa zile za nataka nikasuke rasta zinauzwa 15k Pesa za kusikia rasta 20k na usafiri wa kufika kwa msusi 10k usisahau kutumia na ya kutolea
Sasa balaa hizo rasta akishasuka kuna Muhuni anaenda kuzivutavuta na hajachangia hata Mia mbovu
Never feed a horse that you don't ride!Msosi nacho ni kitu cha kumnyima mtu.
HujaulizwaKesho shule zinafunguliwa...
Asante kwa taarifa...Hujaulizwa
si ndo apoMsosi nacho ni kitu cha kumnyima mtu.
imagine kakuku robo ka 2000 nako unamnyima mtueti kaka shetani,
mwanamke akuombe kuku mzima wa elfu 25 umnyime?
No way! Chakula sio kitu kabisa cha kumnyima mtu😅😅
Utakufa umechoka sana Mzee tena umepinda mgongoKusema kweli mi kuna mmama mmoja ni jirani yangu single maza, kuna vizinga flani akinipiga huwa natoa tu kama sadaka!
Maana naona anapambana kuokoa familia yake, sio kwa ajili ya starehe..
Huyu mama ana watoto saba, ana struggle mwenyewe hana biashara yoyote kwa sasa, alikuwa na genge jirani hapo tu wamemtimua😭
Najitahidi kumpa hata hela ya kitini kimoja tu kwa wiki asaidie watoto wake japokua na mimi ni jobless ila tutafika tu
Ndio nunua kwa Pesa yako nguvu hizo za Kula kuku ukimaliza unaenda kuzitumia wapi na nani?imagine kakuku robo ka 2000 nako unamnyima mtu
Nadhani hiyo 2,000 kwa kuwa ni ndogo tuseme 2,000 nayo ya kuomba mtu kwanini usiwe nayo tu mwenyewe.imagine kakuku robo ka 2000 nako unamnyima mtu
Uko sahihi kama unajitafuta usihendekeze hao matapeli utanishukuru baadaeHello,
Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.
Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.
Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.
Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.
Be wise,
Stay putinized.
FactKuna wengi wanaohitaji msaada na wanadhiki yakweli kabisa kwanini ukawape wasiohitaji msaada ila wanaohitaji kuhongwa.