Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

kunannyingine hiooo anakusigeza kwenye kwapaaaa mjombaa ukisogeza tu sio wako huyoo imeisha mapema wanakusasambua kama vyotee
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.


Aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi? Kama Kuna mtu ana shida ya kununuliwa chakula cha 3000 hata kila siku Sina shida kumnunulia, ila swali langu ni, aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi?
 
Mnawalea wenyewe, hao ukiwawekea mipaka mbona hawakusumbui, shida watu wanataka kukenuliana na mazoea ya ovyo na hao viumbe,,na ukilegeza utakua mshika mapembe tu wanaomkaza wengine, we utaishia kuhudumia hivyo vitu vidogo vidogo tu hata rangi ya kyupi yake hutakuja kuiona
 
Aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi? Kama Kuna mtu ana shida ya kununuliwa chakula cha 3000 hata kila siku Sina shida kumnunulia, ila swali langu ni, aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi?
Wako wengi tu mbona uttoh2002
 
Back
Top Bottom