Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hawataki kuishi kwa kiwango chaoVile njaa nyingi tatizo..mshahara 100k humo humo nauli plus kuchelewshewa malipo
Umaskini mbaya sana mkuuMsosi nacho ni kitu cha kumnyima mtu.
Adui mwombee njaa,usichukulie poa msosiMsosi nacho ni kitu cha kumnyima mtu.
Hello,
Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.
Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.
Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.
Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.
Be wise,
Stay putinized.
Ngoja mbaga aje au mzabzabUkitaka kuishi nao vzr wachukulie wote kama dada zako...
Utakubalije na huku wenye nazo wako wengi tu na wako tayar kutoa mkifika makubaliano??Na hawataki kuishi kwa kiwango chao
NAKAZIA HAPA.Ukitaka kuishi nao vzr wachukulie wote kama dada zako...
Sure mkuu 🤝Manzi akinionyesha tu yeye ni njaa njaa ametoka familia duni ni bonge 1 ya turn OFF
Sijaelewa kabisakunannyingine hiooo anakusigeza kwenye kwapaaaa mjombaa ukisogeza tu sio wako huyoo imeisha mapema wanakusasambua kama vyotee