Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

Wanaomtupia mawe mleta mada kwani chakula sio hela hiyo?...JF bhana
Huwa nakupenda sana Joanah sababu haujamezwa na hii collective thinking iliyomo humu.

Mitazamo yako waga iko too logically nonpartisan, haunaga mambo ya kuegemea jinsia au kufuata majority wanasemaje.

Hakika una kitu Joanah na watu kama wewe ndio mnastahili kukaa kwenye nafasi ya kufanya maamuzi mbali mbali hasa yanayohusu migogoro mizito ya kijamii.
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Hao mademu hawakujui tabia yako mwanangu we si kuna uzi ulitupostia sambwanda kwamba unalifumua masega wewe, wakijua watakaa mita 200000
 
😂 😂 😂
Wadada wengi ni vichefuchefu sana, halafu ukiongea nao kwa bashasha wanahisi unawataka, kuna demu mmoja hapa Kitaa aliniomba vocha nikamnunulia tigo ya 2000 tena kiroho safi kabisa. Eti ooh huwa najiunga ya 3000 Mimi, nikamwambia lete hiyo vocha nikutumie kwa tigoPesa alivyoirudisha tu nikamwambia haya kwaheri tembea na Yesu. Huna shukrani wewe nakupa vocha ya 2000 bila terms zozote unanipangia?
Mpaka leo hii akiniona kwa mbali lazima abadilishe njia.
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga[emoji16], sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima[emoji16]) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Hasa watoto wa 2000 hawana adabu kabisa [emoji3061]

IMG_20240701_122947.jpg
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Haaaah. Kuna mmoja kila nikimtext nimekumisi anajibu, tuma hela ili nione kama kweli umenimisi
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Ukidate na vitoto vya 2000 shida sana!!
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Mkuu usiwe na roho mbaya kiasi hicho. Kwani ukimbunulia misosi afu yeye akakulipa mbunye shida iko wapi?
 
Huwa nakupenda sana Joanah sababu haujamezwa na hii collective thinking iliyomo humu.

Mitazamo yako waga iko too logically nonpartisan, haunaga mambo ya kuegemea jinsia au kufuata majority wanasemaje.

Hakika una kitu Joanah na watu kama wewe ndio mnastahili kukaa kwenye nafasi ya kufanya maamuzi mbali mbali hasa yanayohusu migogoro mizito ya kijamii.

Huwa naambiwa sana mkuu,nisingekuwa na aibu kupindukia ningekuwa nakubali MARA CHACHE nazopewa uongozi

Japo siko perfect mara zote kwenye hiyo mitazamo lakini mara nyingi najitahidi kuwa fair,sitoi judgement ili tu ku-favour jinsia yangu na sijali nani atanichukuliaje
 
Kusema kweli mi kuna mmama mmoja ni jirani yangu single maza, kuna vizinga flani akinipiga huwa natoa tu kama sadaka!

Maana naona anapambana kuokoa familia yake, sio kwa ajili ya starehe..

Huyu mama ana watoto saba, ana struggle mwenyewe hana biashara yoyote kwa sasa, alikuwa na genge jirani hapo tu wamemtimua

Najitahidi kumpa hata hela ya kitini kimoja tu kwa wiki asaidie watoto wake japokua na mimi ni jobless ila tutafika tu
Wanaume ndo tunaishigi hivyo.
 
Huwa naambiwa sana mkuu,nisingekuwa na aibu kupindukia ningekuwa nakubali MARA CHACHE nazopewa uongozi

Japo siko perfect mara zote kwenye hiyo mitazamo lakini mara nyingi najitahidi kuwa fair,sitoi judgement ili tu ku-favour jinsia yangu na sijali nani atanichukuliaje
Kizazi chetu au niseme dunia yetu ya sasa iko kwenye psychological au non-physical gender war, matatizo mengi yanayotokea kwenye jamii yetu hasa yanahusu mahusiano/ndoa, binadamu walio wengi wanaya jadili kwa hisia zenye mchanganyiko wa chuki za kijinsia.

Watu wametengeza gender perfectionism na gender criminality vichwani mwao... yaani kila mtu anaiona jinsia yake ni sahihi na ile nyingine ndio ya ovyoo na inastahili kutupiwa lawama.

Ni mara chache sana kukuta mtu anasimama kwenye objectivity bila kuegemea jinsia fulani.... na mara nyingi watu hawa wanaokuwa na mitazamo ya kipekee isiyoegemea upande wowote huwa wanapigwa vita sana na hasa kama wametoa judgement ambayo haiwafurahishi watu wa jinsia yake.

Joanah najua hata wewe utakuwa unakutana sana na hii changamoto ya wanawake wenzako kukuona kama unajipendekeza kwa wanaume pale unapokuwa na mtzamo tofauti na wao.... ila niamini mimi watu kama wewe ndio mko huru na mnastahili kuangaliwa kwa jicho la kipekee sana maana mko wachache kwenye hiki kizazi chetu.

Watu kama wewe ndio mnafaa hata kukaa kwenye ofisi za ustawi wa jamii maana maamuzi yako hata kwenye masuala magumu ni ya kujenga zaidi na sio ya kuifurahisha jinsia yako.

Watu kama wewe Joanah mnafaa hata kupewa platform ngazi za juu hasa kwenye masuala ya usululishi wa migogoro ya kidiplomasia.
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Umeanzisha uzi kwa sababu ya chakula? Si umnunulie uchape lapa? Chakula? Au kuna kingine?
 
Hello,

Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.

Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.

Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.

Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.

Be wise,
Stay putinized.
Bado mtoto ww huwezi kuombwa au kuzoewa kishamba kama hujatengeneza mazingira nawo
 
Back
Top Bottom