Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

kunannyingine hiooo anakusigeza kwenye kwapaaaa mjombaa ukisogeza tu sio wako huyoo imeisha mapema wanakusasambua kama vyotee
 


Aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi? Kama Kuna mtu ana shida ya kununuliwa chakula cha 3000 hata kila siku Sina shida kumnunulia, ila swali langu ni, aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi?
 
Mnawalea wenyewe, hao ukiwawekea mipaka mbona hawakusumbui, shida watu wanataka kukenuliana na mazoea ya ovyo na hao viumbe,,na ukilegeza utakua mshika mapembe tu wanaomkaza wengine, we utaishia kuhudumia hivyo vitu vidogo vidogo tu hata rangi ya kyupi yake hutakuja kuiona
 
Aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi? Kama Kuna mtu ana shida ya kununuliwa chakula cha 3000 hata kila siku Sina shida kumnunulia, ila swali langu ni, aina hii ya wanawake mnakutana nayo wapi?
Wako wengi tu mbona uttoh2002
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…