Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Unakutana dada yuko reception analipwa 450k anaringa [emoji28][emoji28][emoji28]. Kisa yuko bank fucken[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungempa mshika, afu usimtongoze...unajua nini kingefuata?Kuna siku nilitembelea benki fulani, kwa ajili ya kupata utaratibu wa kupata mkopo kwa ajili ya biashara yangu. Kwa bahati nzuri nilipokelewa na madada, ni mzuri na anashepu ya kuvutia, nyuma amejaziwa kweli. Akanihudumia, na akanipatia namba yake kwa ajili ya kufuatilia.
Cha ajabu, nilipokuwa nampigia simu inaweza kuita muda mrefu bila kupokelewa, na akipokea anaongea kwa mapozi kama vile nataka kumtongoza. Nikawa najiuliza, namba anipe mwenyewe kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi, sasa inakuwaje analeta manjonjo kwenye mawasiliano? Nikahisi, inawezekana labda kutokana na alivyoumbika anahisi kila mwanaume anataka kula tunda kimasihara.
Nilivyofanikisha mzigo wangu, ikabidi nifute na namba yake.
hapa umedanganya mkuuKwanza wadada warembo Sana sio watamu kivile
Zile sauti za kusifiwa zimewafanya kuwa walemavu kiakili,, wanajawa kiburi mno, na mwanamke ukishakuwa hivi ni hasara maana ataendekeza nyodo na majivuno
WaituuuIwe bojooo
Hahahahah wakishakuwa wametakatishwa na vile viyoyozi na tuela twa madanga 😅 mapozi ni lazima!Zile sauti za kusifiwa zimewafanya kuwa walemavu kiakili,, wanajawa kiburi mno, na mwanamke ukishakuwa hivi ni hasara maana ataendekeza nyodo na majivuno
Ukweli ni upi?hapa umedanganya mkuu
Sisi tunavutwa na vingi kwa mwanamke hata milonjo kama ya mke wa mpiga picha wa Diamond [emoji1787][emoji1787]Sisi wengine tuna matumbo na maumbo namba 9 na tunatongozwa daily mkuu[emoji23]
Nadhani ni hulka tu ya dada ambae ni mzuri kudhani kuwa anaweza kumvutia kila kiumbe cha kiume...
Huyo tayari makalio yake yameshampa ulemavu wa akili, halafu kutongozana ni jambo la kawaida hasa kwa jinsia tofauti sionagi bid deal hapo mwanaume akionyesha nia hiyo ni kulichukulia kawaidana kumtreat vizuri pasipo kuushusha utu wake Wala kujifanya wewe Ni binadamu toleo la kwanza kumbe ushuzi tuKuna siku nilikuta ofisi haina mtu nliemtaka, nilitoka nje kidogo Ya ofisi Kusubiri, nkaona dada amekaa kwenye benchi, huyo mdada kiukweli ana makalio makubwa na ana mvuto, ila siku hiyo sikua na nia ya kutongoza mtu wala kuomba mtu namba, nlitaka nipige Naye tu story nipoteze muda
Heee nkamsalimia bidada, nikaanza ongea naye story tu za kawaida, aiseee nlijuta, mdada anajibu kwa mkato hlf mdomo kavuta haoneshi hata tabasamu, Mara ashike simu atext, mara akunje mikono yake aweke kifuani, nkaona huu ni ujinga, sikumaliza dk 1 mm nliondoka, nkasema kama alitegemea ntamtongoza imekula kwake, nahic hakuamini kama nliondoka bila kumtongoza wala kumuomba namba maana nilijua mawazo yake yote yalikuwa huko
Na kweli, kuna baadhi ya wadada wenye makalio makubwa wanaona wamemaliza maisha, wana nyodo hao
Mama pretty Equation x The Garang Noelia Kipunga
Kuja kushtuka time is not on her side againZile sauti za kusifiwa zimewafanya kuwa walemavu kiakili,, wanajawa kiburi mno, na mwanamke ukishakuwa hivi ni hasara maana ataendekeza nyodo na majivuno
Damn trueHuyo tayari makalio yake yameshampa ulemavu wa akili, halafu kutongozana ni jambo la kawaida hasa kwa jinsia tofauti sionagi bid deal hapo mwanaume akionyesha nia hiyo ni kulichukulia kawaidana kumtreat vizuri pasipo kuushusha utu wake Wala kujifanya wewe Ni binadamu toleo la kwanza kumbe ushuzi tu
Na mlivyo na maajabu Sasa, mwanaume alie serious huwa anaejiona na uzuri wake mnamruka mnamfata asie na nyodo,,Hahahahah wakishakuwa wametakatishwa na vile viyoyozi na tuela twa madanga 😅 mapozi ni lazima!
Kuna wadada wana akili za ovyo😂😂Kuna siku nilikuta ofisi haina mtu nliemtaka, nilitoka nje kidogo Ya ofisi Kusubiri, nkaona dada amekaa kwenye benchi, huyo mdada kiukweli ana makalio makubwa na ana mvuto, ila siku hiyo sikua na nia ya kutongoza mtu wala kuomba mtu namba, nlitaka nipige Naye tu story nipoteze muda
Heee nkamsalimia bidada, nikaanza ongea naye story tu za kawaida, aiseee nlijuta, mdada anajibu kwa mkato hlf mdomo kavuta haoneshi hata tabasamu, Mara ashike simu atext, mara akunje mikono yake aweke kifuani, nkaona huu ni ujinga, sikumaliza dk 1 mm nliondoka, nkasema kama alitegemea ntamtongoza imekula kwake, nahic hakuamini kama nliondoka bila kumtongoza wala kumuomba namba maana nilijua mawazo yake yote yalikuwa huko
Na kweli, kuna baadhi ya wadada wenye makalio makubwa wanaona wamemaliza maisha, wana nyodo hao
Mama pretty Equation x The Garang Noelia Kipunga
Hakika mkuuSisi tunavutwa na vingi kwa mwanamke hata milonjo kama ya mke wa mpiga picha wa Diamond [emoji1787][emoji1787]
Mnakosea mnapoondoka hamuwaambiiKuna siku nilikuta ofisi haina mtu nliemtaka, nilitoka nje kidogo Ya ofisi Kusubiri, nkaona dada amekaa kwenye benchi, huyo mdada kiukweli ana makalio makubwa na ana mvuto, ila siku hiyo sikua na nia ya kutongoza mtu wala kuomba mtu namba, nlitaka nipige Naye tu story nipoteze muda
Heee nkamsalimia bidada, nikaanza ongea naye story tu za kawaida, aiseee nlijuta, mdada anajibu kwa mkato hlf mdomo kavuta haoneshi hata tabasamu, Mara ashike simu atext, mara akunje mikono yake aweke kifuani, nkaona huu ni ujinga, sikumaliza dk 1 mm nliondoka, nkasema kama alitegemea ntamtongoza imekula kwake, nahic hakuamini kama nliondoka bila kumtongoza wala kumuomba namba maana nilijua mawazo yake yote yalikuwa huko
Na kweli, kuna baadhi ya wadada wenye makalio makubwa wanaona wamemaliza maisha, wana nyodo hao
Mama pretty Equation x The Garang Noelia Kipunga
Na ndo inakuwaga hivyo,,nyodo hazifai sio vizuri kuushusha utu wa mwanaume kwa vile tu anakutongoza,, hasa Kama hajaonyesha viashiria vya kukuvunjia heshima,,Kuja kushtuka time is not on her side again
Nikweli mpendwa hata mimi nahisi unanitongoza sasa tufanyaje??Kuna siku nilitembelea benki fulani, kwa ajili ya kupata utaratibu wa kupata mkopo kwa ajili ya biashara yangu. Kwa bahati nzuri nilipokelewa na mdada, ni mzuri na anashepu ya kuvutia, nyuma amejaziwa kweli. Akanihudumia, na akanipatia namba yake kwa ajili ya kufuatilia.
Cha ajabu, nilipokuwa nampigia simu inaweza kuita muda mrefu bila kupokelewa, na akipokea anaongea kwa mapozi kama vile nataka kumtongoza. Nikawa najiuliza, namba anipe mwenyewe kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi, sasa inakuwaje analeta manjonjo kwenye mawasiliano?
Nikahisi, inawezekana labda kutokana na alivyoumbika anahisi kila mwanaume anataka kula tunda kimasihara.
Nilivyofanikisha mzigo wangu, ikabidi nifute na namba yake.
Ochumbe obuji onywe,,Waituuu