Wadada wenye maumbo mazuri kwa asilimia kubwa wakikutana na mwanaume huhisi kutongozwa tu

Wadada wenye maumbo mazuri kwa asilimia kubwa wakikutana na mwanaume huhisi kutongozwa tu

Yule mdada sidhani aliona kama ame-win, coz vibe nlioenda nayo pale sio ya kingono, sikuwa natarajia chochote toka kwake zaidi ya story.

Yule mdada kesho yake Tena nlienda maeneo yale, nliona anajipitisha pitisha mbele yangu huku ananiangalia Sana kwa mbali, ila ckua na time nae, nahisi alinishangaa na hakuamini, nahic alijiuliza mm ni mwanaume wa aina gani, ambaye naweza kuyaacha makalio yake hivi hivi, nadhani alitegemea cjui ntambembeleza sana na kumwomba namba..plus mialiko ya ghetto na mtoko, kumbe mm walaa

Story nilizopiga na yule mdada ni story ambayo ningepiga hata na mwanaume mwenzangu Brian Spilner Mama pretty
Hivi bado mna akili za kupeleka wasichana magetoni?
 
Na mlivyo na maajabu Sasa, mwanaume alie serious huwa anaejiona na uzuri wake mnamruka mnamfata asie na nyodo,,

Kuna story moja ipo mitandaoni inasema mkaka mmoja alimpenda kirafiki mwanamke fulani, katika kuwasiliana na mitoko ya hapa na pale, yule mwanamke akawa anaenda na rafikize(micharuko) ila mmojawapo alikuwa tofauti, kuanzia aina ya uongeaji nk mwishowe yule mkaka akampenda na kutaka kumuoa huyo aliyekuwa mstaarabu na kumtosa wa mwanzoni, itafute hiyo story inaendana Sana na hawa walemavu wa akili
Niliisoma hii.
 
Ila binafsi naamini hata hao wadada wenye nyodo, hawaleti nyodo kwa kila mwanaume, Naamini hata mdada akiwa na nyodo kiasi gani, akimtamani mwanaume, nyodo zinaisha..

Sasa utakuta mwanaume una sura kama jaba la maji, utaacha kuletewa nyodo Noelia
Sasa nikwambie mara nyingi hao wadada huwa na nyodo kwa watu wengi anaokutana nao katika majukumu yake,

Wanaume sura ngumu kwangu wana nafasi special kabisa ya heshima,, wanakuwaga vizuri ktk mahusiano, kitandani, ankara, na nidhamu
 
Mnakosea mnapoondoka hamuwaambii
Unapoamua kuondoka kimya kimya mwenzio anaona amewin. Mwambie akomae kiakili kua sio kila mwanaume akimkaribia anataka kumtongoza, japo kutongoza sio jinai.
Mwambie kua amelemaa kiakili na amesahau kua bila hizo akili huo mwili unateseka tu duniani.
Hapo atamwambia mwenzie "lile lijitu limeniletea shobo nimelikaushia mpaka limeona aibu limeondoka".

Halafu muache shobo zakishamba na nyie. Sio kila mdada mzuri lazima umshobokee. Pia hatakama umevutiwa kweli jikaze uende kiume, sio kushoboka shoboka tuu, unaenda unajilainisha mpaka mtoto analeta pozi.
Nenda serious, manly. Usilegee wala usioneshe shobo. Utakujaga umle mbele huko.

Hizo shobo zenu zinawapa kichwa sana hao.

Me huwa simkawizi mtu. Hata wenye nyodo kwenye huduma za umma kisa maumbo na sura zao huwa nabwaga yangu right there. Sipatagi usumbufu wakishamba.

Unatakiwa umtoe kwenye kuwaza Mgongo wake umlete kwenye conscious yake, then you can talk.
Very bold
 
Hawa Viumbe wanajua wazi kuwa vidume vinapagawa sana na Makalio, nimefanya utafiti usio rasmi na kugundua kuwa kila mwanamke anajua ni wapi ndani ya maungo yake ya mwili anauza... wenye miguu mizuri kila siku ni mwendo wa pensi na vimini... wenye maziwa mazuri (manene) atafanya mpango wa kubust au wenye saa sita hatovaa sidiria ili tu uone vichuchu, wenye mwanya sasa kila sentensi mbili atajichekesha ili uone anao... hujamkuta mwenye jicho lake, ataliongezea na kope, wengi wao ni kutafuta attractions kwa wanaume, ila imetokea makalio kupendwa sana na wanaume wakibongo, narudia nasema wakibongo zaidi kwasababu ya ufirauni wao... (watu wazima mmenielewa) dunia imebadilika wengi sana wanapenda kula utumbo mpana wakishawishika kuona yale makalio, na kiukweli si kila mwenye makalio makubwa anatoa utumbo mpana, japo wengi imekuwa kama kivutio kwa biashara wanazofanya... na wengine wamejikuta wamelazimishwa kuutoa utumbo mpana kwa wanaume wenye kupenda michezo hiyo kwasababu ya shida alizonazo, rafiki yangu alishawahi kuniambia alipewa milioni tano (5M) atoe utumbo mpana na mtu mzima (mume wa mtu) alikataa... kwahiyo maumbile ya wanawake yanamambo mengi sana
 
Yule mdada sidhani aliona kama ame-win, coz vibe nlioenda nayo pale sio ya kingono, sikuwa natarajia chochote toka kwake zaidi ya story.

Yule mdada kesho yake Tena nlienda maeneo yale, nliona anajipitisha pitisha mbele yangu huku ananiangalia Sana kwa mbali, ila ckua na time nae, nahisi alinishangaa na hakuamini, nahic alijiuliza mm ni mwanaume wa aina gani, ambaye naweza kuyaacha makalio yake hivi hivi, nadhani alitegemea cjui ntambembeleza sana na kumwomba namba..plus mialiko ya ghetto na mtoko, kumbe mm walaa

Story nilizopiga na yule mdada ni story ambayo ningepiga hata na mwanaume mwenzangu Brian Spilner Mama pretty
Kumbe Mama pretty ni mwanamme
 
Kuna siku nilitembelea benki fulani, kwa ajili ya kupata utaratibu wa kupata mkopo kwa ajili ya biashara yangu. Kwa bahati nzuri nilipokelewa na mdada, ni mzuri na anashepu ya kuvutia, nyuma amejaziwa kweli. Akanihudumia, na akanipatia namba yake kwa ajili ya kufuatilia.

Cha ajabu, nilipokuwa nampigia simu inaweza kuita muda mrefu bila kupokelewa, na akipokea anaongea kwa mapozi kama vile nataka kumtongoza. Nikawa najiuliza, namba anipe mwenyewe kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi, sasa inakuwaje analeta manjonjo kwenye mawasiliano?

Nikahisi, inawezekana labda kutokana na alivyoumbika anahisi kila mwanaume anataka kula tunda kimasihara.

Nilivyofanikisha mzigo wangu, ikabidi nifute na namba yake.
Hao watu wenye mili mikubwa kila mda wako kwenye heat period kwa kifupi mawazo yao yamekaa kingono kila mda ni bora kukaa nao mbali kama hauna mpango wakula mbususu lasivo utakwazika..

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Na mlivyo na maajabu Sasa, mwanaume alie serious huwa anaejiona na uzuri wake mnamruka mnamfata asie na nyodo,,

Kuna story moja ipo mitandaoni inasema mkaka mmoja alimpenda kirafiki mwanamke fulani, katika kuwasiliana na mitoko ya hapa na pale, yule mwanamke akawa anaenda na rafikize(micharuko) ila mmojawapo alikuwa tofauti, kuanzia aina ya uongeaji nk mwishowe yule mkaka akampenda na kutaka kumuoa huyo aliyekuwa mstaarabu na kumtosa wa mwanzoni, itafute hiyo story inaendana Sana na hawa walemavu wa akili
True.
Niliwahisikia hii wakati fulani.
 
Acheni masikhara, mwanamke mzuri akikosa maringo ni matumizi mabaya ya uzuri wake.
 
N kweli s utani, ama wansingziwa.....mdada akishakuwa na rangi nyeupe(iwe yake ama yakununua) akiwa na umbo wanesema namba nane, huwa wanajisahaulisha mnooo kiasi kwamba wanahis washafka bla kuwaza vyooote huwa na mwsho.

Ndyo maana weng wao huishia kutumiwa na kuachwa mataa, baadae unashangaa mbona mrembo huyu bado anahang tu.....kumbe aliringa sana kipind hajaexpire.​
 
Back
Top Bottom