Noma kweli yani😅Tunasema mlete mlete, akiona amefika ndio anavuta kiti atulie...hahaha unavaa miwani ya mbao...huyooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi namheshimu sana binti mnyenyekevu huyo ukimuumiza laana inaweza kuku..
Eti akuletee shobo umwache kabla haa hainaga hiyoNoma kweli yani[emoji28]
Unatambaa na chaki mzee😅Eti akuletee shobo umwache kabla haa hainaga hiyo
Hivi bado mna akili za kupeleka wasichana magetoni?Yule mdada sidhani aliona kama ame-win, coz vibe nlioenda nayo pale sio ya kingono, sikuwa natarajia chochote toka kwake zaidi ya story.
Yule mdada kesho yake Tena nlienda maeneo yale, nliona anajipitisha pitisha mbele yangu huku ananiangalia Sana kwa mbali, ila ckua na time nae, nahisi alinishangaa na hakuamini, nahic alijiuliza mm ni mwanaume wa aina gani, ambaye naweza kuyaacha makalio yake hivi hivi, nadhani alitegemea cjui ntambembeleza sana na kumwomba namba..plus mialiko ya ghetto na mtoko, kumbe mm walaa
Story nilizopiga na yule mdada ni story ambayo ningepiga hata na mwanaume mwenzangu Brian Spilner Mama pretty
Tunasema "unamwandika maelezo" unafunga kitabu[emoji38]Unatambaa na chaki mzee[emoji28]
Niliisoma hii.Na mlivyo na maajabu Sasa, mwanaume alie serious huwa anaejiona na uzuri wake mnamruka mnamfata asie na nyodo,,
Kuna story moja ipo mitandaoni inasema mkaka mmoja alimpenda kirafiki mwanamke fulani, katika kuwasiliana na mitoko ya hapa na pale, yule mwanamke akawa anaenda na rafikize(micharuko) ila mmojawapo alikuwa tofauti, kuanzia aina ya uongeaji nk mwishowe yule mkaka akampenda na kutaka kumuoa huyo aliyekuwa mstaarabu na kumtosa wa mwanzoni, itafute hiyo story inaendana Sana na hawa walemavu wa akili
Unapishana na magari ya mshahara kwa kuendekeza nyodo
Sasa nikwambie mara nyingi hao wadada huwa na nyodo kwa watu wengi anaokutana nao katika majukumu yake,Ila binafsi naamini hata hao wadada wenye nyodo, hawaleti nyodo kwa kila mwanaume, Naamini hata mdada akiwa na nyodo kiasi gani, akimtamani mwanaume, nyodo zinaisha..
Sasa utakuta mwanaume una sura kama jaba la maji, utaacha kuletewa nyodo Noelia
Very boldMnakosea mnapoondoka hamuwaambii
Unapoamua kuondoka kimya kimya mwenzio anaona amewin. Mwambie akomae kiakili kua sio kila mwanaume akimkaribia anataka kumtongoza, japo kutongoza sio jinai.
Mwambie kua amelemaa kiakili na amesahau kua bila hizo akili huo mwili unateseka tu duniani.
Hapo atamwambia mwenzie "lile lijitu limeniletea shobo nimelikaushia mpaka limeona aibu limeondoka".
Halafu muache shobo zakishamba na nyie. Sio kila mdada mzuri lazima umshobokee. Pia hatakama umevutiwa kweli jikaze uende kiume, sio kushoboka shoboka tuu, unaenda unajilainisha mpaka mtoto analeta pozi.
Nenda serious, manly. Usilegee wala usioneshe shobo. Utakujaga umle mbele huko.
Hizo shobo zenu zinawapa kichwa sana hao.
Me huwa simkawizi mtu. Hata wenye nyodo kwenye huduma za umma kisa maumbo na sura zao huwa nabwaga yangu right there. Sipatagi usumbufu wakishamba.
Unatakiwa umtoe kwenye kuwaza Mgongo wake umlete kwenye conscious yake, then you can talk.
Kumbe Mama pretty ni mwanammeYule mdada sidhani aliona kama ame-win, coz vibe nlioenda nayo pale sio ya kingono, sikuwa natarajia chochote toka kwake zaidi ya story.
Yule mdada kesho yake Tena nlienda maeneo yale, nliona anajipitisha pitisha mbele yangu huku ananiangalia Sana kwa mbali, ila ckua na time nae, nahisi alinishangaa na hakuamini, nahic alijiuliza mm ni mwanaume wa aina gani, ambaye naweza kuyaacha makalio yake hivi hivi, nadhani alitegemea cjui ntambembeleza sana na kumwomba namba..plus mialiko ya ghetto na mtoko, kumbe mm walaa
Story nilizopiga na yule mdada ni story ambayo ningepiga hata na mwanaume mwenzangu Brian Spilner Mama pretty
Hao watu wenye mili mikubwa kila mda wako kwenye heat period kwa kifupi mawazo yao yamekaa kingono kila mda ni bora kukaa nao mbali kama hauna mpango wakula mbususu lasivo utakwazika..Kuna siku nilitembelea benki fulani, kwa ajili ya kupata utaratibu wa kupata mkopo kwa ajili ya biashara yangu. Kwa bahati nzuri nilipokelewa na mdada, ni mzuri na anashepu ya kuvutia, nyuma amejaziwa kweli. Akanihudumia, na akanipatia namba yake kwa ajili ya kufuatilia.
Cha ajabu, nilipokuwa nampigia simu inaweza kuita muda mrefu bila kupokelewa, na akipokea anaongea kwa mapozi kama vile nataka kumtongoza. Nikawa najiuliza, namba anipe mwenyewe kwa ajili ya mawasiliano ya kiofisi, sasa inakuwaje analeta manjonjo kwenye mawasiliano?
Nikahisi, inawezekana labda kutokana na alivyoumbika anahisi kila mwanaume anataka kula tunda kimasihara.
Nilivyofanikisha mzigo wangu, ikabidi nifute na namba yake.
Hasara kubwa sana manake akifa anazikwa nayo inaenda kuliwa na mchwa.....Zile sauti za kusifiwa zimewafanya kuwa walemavu kiakili,, wanajawa kiburi mno, na mwanamke ukishakuwa hivi ni hasara maana ataendekeza nyodo na majivuno
True.Na mlivyo na maajabu Sasa, mwanaume alie serious huwa anaejiona na uzuri wake mnamruka mnamfata asie na nyodo,,
Kuna story moja ipo mitandaoni inasema mkaka mmoja alimpenda kirafiki mwanamke fulani, katika kuwasiliana na mitoko ya hapa na pale, yule mwanamke akawa anaenda na rafikize(micharuko) ila mmojawapo alikuwa tofauti, kuanzia aina ya uongeaji nk mwishowe yule mkaka akampenda na kutaka kumuoa huyo aliyekuwa mstaarabu na kumtosa wa mwanzoni, itafute hiyo story inaendana Sana na hawa walemavu wa akili
Nadhani yale mazingira yakuona noti noti yanakuwa yanawachanganyaUnakutana dada yuko reception analipwa 450k anaringa [emoji28][emoji28][emoji28]. Kisa yuko bank fucken[emoji28]
😂😂😂 mkopo ungeishia hapo hapoUngempa mshika, afu usimtongoze...unajua nini kingefuata?
🤣🤣🤣🤣 pmNikweli mpendwa hata mimi nahisi unanitongoza sasa tufanyaje??
Unafanya kwa akili budaa[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] mkopo ungeishia hapo hapo