Wadada wenzangu hii sio poa

Something is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi malegendaryyy

wanaa kadhaaa tunawajua

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atupe kazi
Ama amtaje huyo bwana wao
Sekunde tunampa list ya wake wenzake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani hapo ashindwe yeye tu hii vita ila jeshi analo
 
Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasisitiza tena. Wake wakubwa hakuna kususia nyumba. Kauli mbiu yetu ni hiyo🤣 Baba akitoka arudi akiwa na viungo vyote kama tunavyowaombea. Mi sikwenda kwao ye ndo alinifata kwetu🤣 kwanza nlivotoka tu kwetu chumba changu akapewa binamu yangu. Ndani sitoki 🤣🤣🤣eti mchepuko mbona na dinner ntamkaribisha eboo mda mwengine uchizi unasaidia ndani sio kila siku ngumi na mshua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…