Wadada wenzangu hii sio poa

Vinachekesha ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Namna napenda mambo ya kijinga leo nitashinda kwa shoga angu nicheke tuuu maana anavyoandika na anavyocomment ni burudani
Full comedy huyu bidada
 
Watu weuweeeeeeeeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michepukoooooo kazi wanayoooo safariii hii. Lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kusumbuliwa na wanawake wenziw tupo. Wanamuonelea kila siku yeye tuu. Mara wanaume wamuite malaya, mara mademu wa bwana wamsakame. Tumeamua kuwa chawa wake watiifu yeye amwage list tu zoezi la kuchamba atuachie sisi
Ndiwoooo

Tena sie tumeamua kumfanyia bure kabisa kwa upendo maana hii huduma sehemu nyingine unalipia.
Jinsi gani aone tuna mapenzi ya dhati naye

Tunachosubiri ni list tu sie tufanye yetu
 
Eti BJ kama kibogoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…