Wadada wenzangu hii sio poa

Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Huyo mtu mnajuana?
 
Oooh kumbe umeambiwa tu? Achana na maneno ya kusikia zidisha mapenzi kwa huyo mpenzi wenu mpaka mchepuko mwenzio akili imkae sawa.
Kuchambana kisa wanaume mambo ya zamani sana shoga angu

Umesahau kumalizia wanaume wa JF

AkA cha wote [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anatuvuruga tu chawa wake tunashindwa kujua tuanzie wapi kuchamba
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?🀣🀣
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengezaπŸ™„.....aaah alete majina tuanze na wa kike🀣🀣🀣
 

Huhuuu nyiee
 
Umesahau kumalizia wanaume wa JF

AkA cha wote [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa ni wetu wote ukianza kupambana na wenzio ni kukaribisha msongo na nyuzi za kuchambana zisizoisha halafu muda huo nyie mnachambana mwanaume yuko busy pm na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?[emoji1787][emoji1787]
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengeza[emoji849].....aaah alete majina tuanze na wa kike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli sisi hatuwezi chamba wanaume tuna maadili.... kama ni wanaume ye apambane nao tu sisi atupe majina ya wadada tutamsaidia, hatutaki laana ndogo ndogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?[emoji1787][emoji1787]
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengeza[emoji849].....aaah alete majina tuanze na wa kike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni wetu wote ukianza kupambana na wenzio ni kukaribisha msongo na nyuzi za kuchambana zisizoisha halafu muda huo nyie mnachambana mwanaume yuko busy pm na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani unaanzaje kwa mfano

Halafu aaah au basi
 
National Anthem ana aminika?
Apitie vetting kwanzaπŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…