Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Huyo mtu mnajuana?
 
Anatuvuruga tu chawa wake tunashindwa kujua tuanzie wapi kuchamba
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?🤣🤣
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengeza🙄.....aaah alete majina tuanze na wa kike🤣🤣🤣
 
Na kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.
Mwingine alikuwa rafiki kwa muda mrefu zamani sana namfahamu kwa pics bahati mbaya baadae nikajua ID yake ya JF aliscreenshot kitu akareveal ID bila kujua yaani mambo anayoandika humu na alivyo ni tofauti kabisa.
Kwanza kutwa kuwaponda kina dada humu anajikuta someone matawi wakati mshamba balaa.
Basi watu wanamsifiaga me nawachora tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huhuuu nyiee
 
Umesahau kumalizia wanaume wa JF

AkA cha wote [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa ni wetu wote ukianza kupambana na wenzio ni kukaribisha msongo na nyuzi za kuchambana zisizoisha halafu muda huo nyie mnachambana mwanaume yuko busy pm na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?[emoji1787][emoji1787]
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengeza[emoji849].....aaah alete majina tuanze na wa kike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli sisi hatuwezi chamba wanaume tuna maadili.... kama ni wanaume ye apambane nao tu sisi atupe majina ya wadada tutamsaidia, hatutaki laana ndogo ndogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Manake kuanza na kuanza tuanze kumchamba mwanaume? Si tutapata laana jamani?[emoji1787][emoji1787]
Wanaume wenyewe viumbe adimu, na tukikumbuka wanavyotuweka makengeza[emoji849].....aaah alete majina tuanze na wa kike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni wetu wote ukianza kupambana na wenzio ni kukaribisha msongo na nyuzi za kuchambana zisizoisha halafu muda huo nyie mnachambana mwanaume yuko busy pm na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani unaanzaje kwa mfano

Halafu aaah au basi
 
Huwezi amini siku zote sikujua hii ID ni yako.. mbaya wewe mfyuuuuu.
Jana uliniuliza Velissa sikushtuka yani.. Hajambo beb wako wa Kitutsi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Tumemiss bata la apartment, nipe maelekezo niandae lingine tumualike na National Anthem
National Anthem ana aminika?
Apitie vetting kwanza😅😅
 
Back
Top Bottom